Taavid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 8,320
- 71,075
Dah pambana kaka, sali sana Mungu baba atakufungulia. Hakuna magumu yasiyo na mwisho.... I deeply understand the struggle!Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayri kuingia naye mkataba awe anakata 10% ya mshahala wangu ndani ya miezi 12.asanteni
