Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayri kuingia naye mkataba awe anakata 10% ya mshahala wangu ndani ya miezi 12.asanteni
Duhh
Kila la kheri
 
IMG-20240615-WA0010.jpg
 
Wapo wamejaa tele!
Wewe kila siku unajisifu kubadilisha wanawake unadhani utampata wa kutulia na wewe?
You attract what you're
Sasa wanawake walivuo watamu wee nikae na mmoja nimerogwa au sina pesa 🤣🤣🤣🤣
Hao kama wapo basi ni mmoja kwa million mia moja. I aint that lucky and i dnt make decisions on exceptions
 
Sasa wanawake walivuo watamu wee nikae na mmoja nimerogwa au sina pesa 🤣🤣🤣🤣
Hao kama wapo basi ni mmoja kwa million mia moja. I aint that lucky and i dnt make decisions on exceptions
Wenzako wanapata waaminifu wewe endelea na hao malaya mnaokutana clubs kwenye madanguro

Wanawake waaminifu wapo tele ila hawawezi kua na wewe!
 
Single maza ni laana

Kanuni ni zilezile inapohusu single maza

●Hatulei bao la mwanaume mwingine

●Mwanaume anatakiwa aanzishe familia yake sio ajiunge kwenye familia ya mwanaume mwenzake

●Single maza waolewe na baba za watoto wao

●Single maza ni wa kupiga na kusepa

Ni mwanaume mpumbavu na mjinga tu ndiye anayeweza kumuoa single maza

Learn or perish
 
Back
Top Bottom