Kila mtu ana ndoto yake ila ya dogo imetimia hata kabla hajaamka.
Ila kweli hivi wakibanwa inakuwaje? Labda ni kuvua nguo nzima.
Inatibu nini?
Gono 🤸🤸🤸🤸 inauma balaa....Inatibu nini?
Mungu akuwezeshe ndugu yangu,akukutanishe na mtu atakeye kukutanisha na kazi yako, awe mtu sahihi na mwema asiye hitaji hio asilimia kumi.Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayri kuingia naye mkataba awe anakata 10% ya mshahala wangu ndani ya miezi 12.asanteni
Vijana wa hovyo sijui kwanini wanajaliwa uspecial wa vingi😂
Nimechomwa sana hizi sindano