Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,383
- 7,969
Hayo ndio mafanikio aliyoyafanya kwenye jimboni kwakeNa Bado mtu anaona fahari Kwa kutoa Hilo pendekezo bungeni. Anajisifia kabisa.
Hayo ndio mafanikio aliyoyafanya kwenye jimboni kwakeNa Bado mtu anaona fahari Kwa kutoa Hilo pendekezo bungeni. Anajisifia kabisa.
Ni mambo gani mengine ambayo utekelezaji wake hufanywa haraka baada ya kupitishwa na Bunge?
Mkuu kwa nini usianze wewe, ulieyeona kasoro hiyo????Hiyo hoja ya huyo mama ni upuuzi mtupu ambayo ni akili y mwanamke mjnga tu asiye na hekima wala busara anaweza kuja nayo.
Huu muswada ningependa ajitokeze mtu au kikundi/taasisi waupinge mahakamani kwa hoja. Itoshe kusema ni jambo ambalo halikubliki kabisa kwa 99.999999% ya Watanzania wote.
🤣 🤣 🤣Mentality ya kisistaduu imetoa wazo kwenye bunge la wajinga na wazo lake likakubaliwa.
🤣 🤣 🤣Yaani ndoa yake yeye sisi ndo tumlipe.raha apate na bado alipwe