Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20240315_165835_Instagram Lite.jpg
 
UGUMU WA MAISHA si wa kuchekea. Unatokana na kukosekana kwa ajira, gharama za maisha sababu ya mfumuko wa bei na mzunguko duni wa fedha. Sasa hivi vijana ni mwendo wa KUBETI, KUTAPELI (hasa kutumia simu) KUKABA, ULEVI, nk. Ishara hizi ni dhahili kuwa kila mtu atafikiwa. Ni SUALA LA MUDA TU!
FB_IMG_1710583299574.jpg
 
Back
Top Bottom