Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

1710509151221.png
 
MR PATRICK MUTALE PLEASE LEAVE MY WIFE ALONE AND FOCUS ON YOUR WIFE

Good afternoon admin, this man has been after my wife for a long time now even after she denied him and BLOCKED him he still uses other numbers to call her and asking for s£x when he knows very well that she is a married woman.

Ba Mutale you have forced me to come this far, now your children and wife will know what type of a man you!

You have brought this embarrassment upon yourself.
Screenshots_2024-03-15-13-51-08.jpg
 
Tukisema wanatuona MAZOMBIE mnabisha?!
Mmeona Sasa wanavyozidi kutaka kula hela zetu za kodi?!
Wale wanaoishi na mlo mmoja Kwa siku WATAFIKIRIA NA KUWAONA HAWA VIONGOZI KIVIPI?!
TUWAITE WALAFI, WAROHO, KUPE, MBU, WAROHO AU NENO GANI HAWA WATU?!
HAWATOSHEKI?!
 
Hiyo hoja ya huyo mama ni upuuzi mtupu ambayo ni akili y mwanamke mjnga tu asiye na hekima wala busara anaweza kuja nayo.

Huu muswada ningependa ajitokeze mtu au kikundi/taasisi waupinge mahakamani kwa hoja. Itoshe kusema ni jambo ambalo halikubliki kabisa kwa 99.999999% ya Watanzania wote.
 
Hiyo hoja ya huyo mama ni upuuzi mtupu ambayo ni akili y mwanamke mjnga tu asiye na hekima wala busara anaweza kuja nayo.

Huu muswada ningependa ajitokeze mtu au kikundi/taasisi waupinge mahakamani kwa hoja. Itoshe kusema ni jambo ambalo halikubliki kabisa kwa 99.999999% ya Watanzania wote.
Kwa kweli inasikitisha sana!

Wanatugeuza watanzania wote kuwa ni wajinga sana, tusioweza kuhoji upuuzi wa Hilo Bunge letu, lililopitisha huo muswada.

Hao wabunge, mbona hawataki kutatua matatizo sugu ya mifuko hiyo ya jamii ya kikotoo, Kwa wafanyakazi waliofanya kazi katika maisha yao yote na mwishowe wanalipwa kiduchu!🙆
 
Back
Top Bottom