

View attachment 2935448
Manina, wachawi nyie
Kwa kweli inasikitisha sana!Hiyo hoja ya huyo mama ni upuuzi mtupu ambayo ni akili y mwanamke mjnga tu asiye na hekima wala busara anaweza kuja nayo.
Huu muswada ningependa ajitokeze mtu au kikundi/taasisi waupinge mahakamani kwa hoja. Itoshe kusema ni jambo ambalo halikubliki kabisa kwa 99.999999% ya Watanzania wote.
Mumeo asingekuwa kiongozi ungelipwa na nani hyo hela?nani amekwambia kuishi na kiongozi ni kazi inayotakiwa kulipwa?muomeo si ana mshahara anashindwa kukulipa?