Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20240316-WA0004.jpg
 
Hiyo hoja ya huyo mama ni upuuzi mtupu ambayo ni akili y mwanamke mjnga tu asiye na hekima wala busara anaweza kuja nayo.

Huu muswada ningependa ajitokeze mtu au kikundi/taasisi waupinge mahakamani kwa hoja. Itoshe kusema ni jambo ambalo halikubliki kabisa kwa 99.999999% ya Watanzania wote.
Sio muswada tena, imeshakua Sheria, au huna taarifa??
 
ISAYA 10:1-2

¹ Ole wao wawekao amri zisizo za haki, na waandishi waandikao maneno ya ushupavu;

² ili kumpotosha mhitaji asipate haki yake, na kuwanyang'anya maskini wa watu wangu haki yao; ili wajane wawe mateka yao, na kuwafanya yatima waliofiwa na baba zao kuwa mawindo yao!

HILO NDILO NENO LA MUNGU
 
Kama nchi inakuwa mpaka na sheria ya mafao ya wenza wa viongozi itashindwa VP Kubuni sheria kandamizi kama ile ya kikokotoo ambayo imepelekea wastaafu wetu walio kwenye utumishi wa umma kupata mafao ya aibu ?Lazima wafanye hivyo kwa sababu yanatakiwa mabilioni ya pesa kuwalipa watu hao pamoja na wabunge ambao baada ya miaka 5 kila mmoja atalamba zaidi ya milioni 270 licha ya kutochangia kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii! Inasikitisha
 
Back
Top Bottom