Huyu madam juzi ameniomba lift pale bypass around saa sita za usiku



, BT kulikua na Rasharasha mimi na huruma yangu nilisimamisha tulela


, na nikamwambia ingia twende...
Sasa kitu ilinshangaza alikohoa na bass buana


, ikabidi ni confirm Sura mara katha


, kumbe ata makeup ilikua imeanza kutoka ju ya ile manyunyu ya mvua, na Ile kukohoa ni ile kifua yake ilikuq imeingiza baridi

, Mimi nikadhani nimebeba ghost


, ju hata sura nilishindwa kuangalia mara ya pili



.
Sema madam kunipandishia hasira


, nikakumbuka Kisanga flani derefa wangu ashai fanyiwa hapo awali exactly kama hii

, ilibidi nitoe rungu chini ya kiti kwenda kumgonga moja akashika ile rungu basi 🥹


, mimi nikajua nimeisha hapa


...
Lakini nilijijaza nikamwekelea dondi moja ya kerimo adi akatoa wig


, kujisugua Kwa kichwa


, na akaniomba banadol zile Mimi huwa natembea nazo


, then madam anaanza kuniambia ati ni prank nimsamehee hii ni prank gani na madam anashika rungu ikiwa ju aii



, nilimwangalia hivi

🫤



, nikaona huyu anakaa innocent sana hivyo ndio jaba iliisha kwa macho buana 🫣



....