Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1710062580768.jpg
 
Huyu madam juzi ameniomba lift pale bypass around saa sita za usiku , BT kulikua na Rasharasha mimi na huruma yangu nilisimamisha tulela , na nikamwambia ingia twende...
Sasa kitu ilinshangaza alikohoa na bass buana , ikabidi ni confirm Sura mara katha , kumbe ata makeup ilikua imeanza kutoka ju ya ile manyunyu ya mvua, na Ile kukohoa ni ile kifua yake ilikuq imeingiza baridi , Mimi nikadhani nimebeba ghost , ju hata sura nilishindwa kuangalia mara ya pili .
Sema madam kunipandishia hasira , nikakumbuka Kisanga flani derefa wangu ashai fanyiwa hapo awali exactly kama hii , ilibidi nitoe rungu chini ya kiti kwenda kumgonga moja akashika ile rungu basi 🥹, mimi nikajua nimeisha hapa ...
Lakini nilijijaza nikamwekelea dondi moja ya kerimo adi akatoa wig , kujisugua Kwa kichwa , na akaniomba banadol zile Mimi huwa natembea nazo , then madam anaanza kuniambia ati ni prank nimsamehee hii ni prank gani na madam anashika rungu ikiwa ju aii , nilimwangalia hivi 🫤, nikaona huyu anakaa innocent sana hivyo ndio jaba iliisha kwa macho buana 🫣....
FB_IMG_1710064964430.jpg
 
Back
Top Bottom