Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

"Nguvu za umeme zipo kila mahali kwa kiasi kisicho na kikomo na zinaweza kuendesha mitambo ya ulimwengu bila hitaji la makaa ya mawe, mafuta, gesi, au nishati nyingine yoyote ya kawaida."

Nikola Tesla

JE, MABENKA HAWA WALIHARIBU WAZO LA TESLA NA KUSIMAMISHA ZAWADI YAKE YA NISHATI BURE KWA WOTE?

MORGAN

WARBURG

ROCKEFELLER

JP Morgan na mabenka wengine kwanza walijifanya kumuunga mkono Tesla, lakini
kwa ufanisi walikuwa wanatafuta tu kumdhibiti. Walipojuq alikuwa anapanga kutoa dunia ENERGY BURE kama zawadi, walimnyamazisha Tesla kwa kutumia magazeti wanayoyadhibiti.View attachment 2921945
kila nikifikiria vile ingewezekana umeme kuwa wireless kulingana na nicola sipati jibu
 
1709402895786.jpg
 
Ni kuwa makini tu hasa kwenye mambo ya kisiasa. Unaweza kukaa kwenye kahawa lakini unasikiliza zaidi kuliko kuongea. Na ukiongea, unaongea kwa staha, bila uzushi. Ukitaka kuzusha unazusha stories za mpira na mastaa wa movies na music- tena mastaa wa nje ya nchi😀😀
2016 Jamaa alifanyiwa tukio baya sana kwasababu ya stori za kwenye cha kijiwe cha kahawa.
Tangu pale nimeona siasa ni upuuzi mkubwa.
 
Back
Top Bottom