Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Mtihani sana Namshukuru Mungu Kutokuwa na tamaa na hayo madude.Mnaokunywa hii mipombe mikali hii kuweni makini. Zaidi ya asilimia 90 ni feki na hakuna anayejua mnakunywa makemikali gani. Angalieni sana afya ya figo na maini yenu 🙏🏿
View attachment 2857753View attachment 2857754
Mpaka watengenezaji wa Konyagi na K-Vant wamepunguza uzalishaji sababu ya uwepo wa Konyagi na K-Vant nyingi feki mtaani...Hatari sana!Mtihani sana Namshukuru Mungu Kutokuwa na tamaa na hayo madude.