Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,829
What? 😳
Mpaka watengenezaji wa Konyagi na K-Vant wamepunguza uzalishaji sababu ya uwepo wa Konyagi na K-Vant nyingi feki mtaani...Hatari sana!Mtihani sana Namshukuru Mungu Kutokuwa na tamaa na hayo madude.
Unashangaa tu unaitwa mahakama kuu mwaka fulani nilimnyanyasa Antonnia ushahidi screenshot za miaka ishirini nyuma zimetunzwa...Hata sasa tu hekaheka zako za hapa JF si za kitoto. Huko kitaa sijui hali ikoje. Ila kama una pesa hizo kesi utatoboa tu maana mna-settle out of court kama anavyofanya PDiddy labda kama baadhi ya wahusika ni underage. Hapo sasa ni msala tofauti kabisa maana wanaweza wakaku-RKelly 😁
Tatizo binadamu wa sasa ni wabishi sana 😁🖐Unashangaa tu unaitwa mahakama kuu mwaka fulani nilimnyanyasa Antonnia ushahidi screenshot za miaka ishirini nyuma zimetunzwa...
Faini nusu ya mali zako, wakjitokeza na wengine daah!!