Unashangaa tu unaitwa mahakama kuu mwaka fulani nilimnyanyasa Antonnia ushahidi screenshot za miaka ishirini nyuma zimetunzwa...Hata sasa tu hekaheka zako za hapa JF si za kitoto. Huko kitaa sijui hali ikoje. Ila kama una pesa hizo kesi utatoboa tu maana mna-settle out of court kama anavyofanya PDiddy labda kama baadhi ya wahusika ni underage. Hapo sasa ni msala tofauti kabisa maana wanaweza wakaku-RKelly 😁
Tatizo binadamu wa sasa ni wabishi sana 😁🖐Unashangaa tu unaitwa mahakama kuu mwaka fulani nilimnyanyasa Antonnia ushahidi screenshot za miaka ishirini nyuma zimetunzwa...
Faini nusu ya mali zako, wakjitokeza na wengine daah!!
Lengo ni kukupanikisha wewe na kidem chako hakuna kingine🤣🤠🤠🤠🤠!Unashangaa tu unaitwa mahakama kuu mwaka fulani nilimnyanyasa Antonnia ushahidi screenshot za miaka ishirini nyuma zimetunzwa...
Faini nusu ya mali zako, wakjitokeza na wengine daah!!
😁😁😁😁😁!Hata sasa tu hekaheka zako za hapa JF si za kitoto. Huko kitaa sijui hali ikoje. Ila kama una pesa hizo kesi utatoboa tu maana mna-settle out of court kama anavyofanya PDiddy labda kama baadhi ya wahusika ni underage. Hapo sasa ni msala tofauti kabisa maana wanaweza wakaku-RKelly 😁
Tena anakuja na pepa za mase na fimbo😁😁😊!