Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Nina miaka michache huko mbeleni nitaanza kushtakiwa Kwa vikesi kama hivyo...
Hata sasa tu hekaheka zako za hapa JF si za kitoto. Huko kitaa sijui hali ikoje. Ila kama una pesa hizo kesi utatoboa tu maana mna-settle out of court kama anavyofanya PDiddy labda kama baadhi ya wahusika ni underage. Hapo sasa ni msala tofauti kabisa maana wanaweza wakaku-RKelly 😁Nina miaka michache huko mbeleni nitaanza kushtakiwa kwa vikesi kama hivi.