Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20231230_153935_730.jpg
IMG_20231230_153941_597.jpg
 
Nina miaka michache huko mbeleni nitaanza kushtakiwa kwa vikesi kama hivi.
Hata sasa tu hekaheka zako za hapa JF si za kitoto. Huko kitaa sijui hali ikoje. Ila kama una pesa hizo kesi utatoboa tu maana mna-settle out of court kama anavyofanya PDiddy labda kama baadhi ya wahusika ni underage. Hapo sasa ni msala tofauti kabisa maana wanaweza wakaku-RKelly 😁
 
Back
Top Bottom