Usilinganishe pesa na _________
Never pass any judgements without listening to the other party involved...
Siyo kweli. Don't demonize marriage because it is sacred 🙏🏿
Ningependa kujua sababu ya mende. I hate them! Sijui hata wana faida gani yaani. Mbu angalau wanaeneza magonjwa na wanasaidia kupunguza population. Mende sasa. Hakuna hata ndege ambaye anamla. Pure trash 🚮Hao ni viumbe wa Mungu.
Wapo Duniani kwa matakwa yake Mungu .
Na bila shaka kila kiumbe yupo Duniani kwa sababu maalum ambazo anazijua Mungu mwenyewe.
Hawa watu mashuhuri wana mambo mengi mno!
Trash!
We were never the same again!
Jamaa alikuwa na mikwara mbuzi kibao 😁😁😁tukumbushane jina jamani wahenga.. Baba ubayaView attachment 2857070
Sent using Jamii Forums mobile app
Likely lilishaleft group!