Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

8764eef08f4bc89fb38890e1fc09df76.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao ni viumbe wa Mungu.
Wapo Duniani kwa matakwa yake Mungu .
Na bila shaka kila kiumbe yupo Duniani kwa sababu maalum ambazo anazijua Mungu mwenyewe.
Ningependa kujua sababu ya mende. I hate them! Sijui hata wana faida gani yaani. Mbu angalau wanaeneza magonjwa na wanasaidia kupunguza population. Mende sasa. Hakuna hata ndege ambaye anamla. Pure trash 🚮
 
Back
Top Bottom