Bro, umegusa pabaya!!! huku kanda ya kati hususani manyoni ni noma. hawana wivu. mtu na mkewe wanakwenda bar. Kutega chanel. ukimhusudu mke wake ukamtokea anakwambia mlipie yule pale, Wala Usijali wewe lipa. Bro. huyo dem unaenda kupiga nae shoo mpaka lukwili Wala hamna shida. hela unayompa asubuhi anawakilishiwa Mzee.
!!!