naliwe
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 479
- 1,065
Toka niache kazi na kuamua kujikita kutafuta pesa mtaani kuna mabadiliko mengi katika maisha yangu ambayo wakati Mwingine nikikaa nikitafakari najikuta tu nacheka sana,
Labda niwaonjeshe baadhi ya hayo mabadiliko
Labda niwaonjeshe baadhi ya hayo mabadiliko
- Kila niamkapo asubuhi huwa sijui Siku iyo ni tarehe ngapi.u
- Huwasijui ni Siku ganic
- Account zangu za bank zote zipo kichwani tofaouti na kipindi nafanya kazi.a
- Wakati mwingine nasahau bank nna kiasi gani cha fedha.
- Nawahi sana kuamka tofauti na kipindi kile nilipokua mwajiriwa yani nilikua naaamka kwa tabu sana.
- Nna marafiki ambao hata nikiitaji milioni tano usiku uhu naweza kumpigia mmoja cm na akanipa tena sio lazima aende bank,tofauti na kipindi kile elfu kumi kwa wafanyakazi wenzangu kukupa ni shuhulii
- Nikofree kusafiri kokote nnakotaka kwa muda wowote na kwa Siku yoyote siulizwi wala akuna wa kumuomba ruhusa zaidi tu kumuomba mungu nifike salam