Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,873
- 29,048
Hiyo biashara ya kutokukumbuka tarehe sijui ni ipi? Anyway hongera
Labda nikutoe wac wac mkuu uku mtaani 4.5m ni kiasi cha kawaida sana,Mkuu siju biashara yako ina mtaji kiasi gani,,imeajiri watu wengine,nani anaisimamia,ni ya mazao au kutoa huduma au kuzalisha?au kusafirisha?
kiukweli ukijiajiri raha sana sana sema nasikia kuna changamoto kama ukiumwa hela za matibabu kwa watoto...mkuu hakuna bima yeyote inayokukubali chini ya 4.5million,NHIF tuu ndo 1.6million tena uwe kwenye kikundi sasa wewe changamoto ya matibabu unaitatua vipi kama mtu uliejiajiri?
Pili..kipato chako hakina msimu leo umepata kesho hujapata unawezaje kukabiliana na matukio yasiotarajiwa ktk biashara kama kodi kupanda,TRA,Soko la biashara yako hapo hapo hela ya kula...coz kila siku lazima watoto wale na wasome na biashara ikue...
Ni Raha sana mkuu kujiajiri...inahitaji ujasiri pia...
Biashara kama mtoto mdogo inaitaji u karibu sana,inaitaji malezi mazuri kama mzazi wa biasharaNi kweli ila huenda ajira yako ni ya mtu mmoja tu yaani wewe mwenyewe. Biashara binafsi ni ajira nzuri sana, ila pia ina challenges nyingi sana hasa pale unapokuwa umeajiri watu wengine; muda huo ukifika labda utapost kitu kingine tena hapa. Kuna wakati niliwahi kujikuta nagawanya mshahara wangu wa kazini kuwalipa baadhi ya wafanya kazi wa biashara yangu ndogo halafu mimi nikajilazimisha kuishi kwenye maji! Ups and downs hutokea sana katika biashara, inategemea sana na aina ya biashara yako.
Mkuu siju biashara yako ina mtaji kiasi gani,,imeajiri watu wengine,nani anaisimamia,ni ya mazao au kutoa huduma au kuzalisha?au kusafirisha?
kiukweli ukijiajiri raha sana sana sema nasikia kuna changamoto kama ukiumwa hela za matibabu kwa watoto...mkuu hakuna bima yeyote inayokukubali chini ya 4.5million,NHIF tuu ndo 1.6million tena uwe kwenye kikundi sasa wewe changamoto ya matibabu unaitatua vipi kama mtu uliejiajiri?
Pili..kipato chako hakina msimu leo umepata kesho hujapata unawezaje kukabiliana na matukio yasiotarajiwa ktk biashara kama kodi kupanda,TRA,Soko la biashara yako hapo hapo hela ya kula...coz kila siku lazima watoto wale na wasome na biashara ikue...
Ni Raha sana mkuu kujiajiri...inahitaji ujasiri pia...
Mkuu usifikirie hivyo hata hizo Bima zenyewe mwisho mipaka ya kitanzania tu ila ukipangiwa matibabu nje lazima ujiralaumu..Kwa hiyo vitu vingine take as simple.Kikubwa kukubali risk ndio mafanikio yenyewe.Challenge is the price of successMkuu siju biashara yako ina mtaji kiasi gani,,imeajiri watu wengine,nani anaisimamia,ni ya mazao au kutoa huduma au kuzalisha?au kusafirisha?
kiukweli ukijiajiri raha sana sana sema nasikia kuna changamoto kama ukiumwa hela za matibabu kwa watoto...mkuu hakuna bima yeyote inayokukubali chini ya 4.5million,NHIF tuu ndo 1.6million tena uwe kwenye kikundi sasa wewe changamoto ya matibabu unaitatua vipi kama mtu uliejiajiri?
Pili..kipato chako hakina msimu leo umepata kesho hujapata unawezaje kukabiliana na matukio yasiotarajiwa ktk biashara kama kodi kupanda,TRA,Soko la biashara yako hapo hapo hela ya kula...coz kila siku lazima watoto wale na wasome na biashara ikue...
Ni Raha sana mkuu kujiajiri...inahitaji ujasiri pia...
Mkuu now you are talking.Toka niache kazi na kuamua kujikita kutafuta pesa mtaani kuna mabadiliko mengi katika maisha yangu ambayo wakati Mwingine nikikaa nikitafakari najikuta tu nacheka sana,
Labda niwaonjeshe baadhi ya hayo mabadiliko
- Kila niamkapo asubuhi huwa sijui Siku iyo ni tarehe ngapi.u
- Huwasijui ni Siku ganic
- Account zangu za bank zote zipo kichwani tofaouti na kipindi nafanya kazi.a
- Wakati mwingine nasahau bank nna kiasi gani cha fedha.
- Nawahi sana kuamka tofauti na kipindi kile nilipokua mwajiriwa yani nilikua naaamka kwa tabu sana.
- Nna marafiki ambao hata nikiitaji milioni tano usiku uhu naweza kumpigia mmoja cm na akanipa tena sio lazima aende bank,tofauti na kipindi kile elfu kumi kwa wafanyakazi wenzangu kukupa ni shuhulii
- Nikofree kusafiri kokote nnakotaka kwa muda wowote na kwa Siku yoyote siulizwi wala akuna wa kumuomba ruhusa zaidi tu kumuomba mungu nifike salam
Poa tu, turingishie na mimi karibia baba afe nipate urithi niache kazi. Naona kesi za presha hazimuishi dingi.Toka niache kazi na kuamua kujikita kutafuta pesa mtaani kuna mabadiliko mengi katika maisha yangu ambayo wakati Mwingine nikikaa nikitafakari najikuta tu nacheka sana,
Labda niwaonjeshe baadhi ya hayo mabadiliko
- Kila niamkapo asubuhi huwa sijui Siku iyo ni tarehe ngapi.u
- Huwasijui ni Siku ganic
- Account zangu za bank zote zipo kichwani tofaouti na kipindi nafanya kazi.a
- Wakati mwingine nasahau bank nna kiasi gani cha fedha.
- Nawahi sana kuamka tofauti na kipindi kile nilipokua mwajiriwa yani nilikua naaamka kwa tabu sana.
- Nna marafiki ambao hata nikiitaji milioni tano usiku uhu naweza kumpigia mmoja cm na akanipa tena sio lazima aende bank,tofauti na kipindi kile elfu kumi kwa wafanyakazi wenzangu kukupa ni shuhulii
- Nikofree kusafiri kokote nnakotaka kwa muda wowote na kwa Siku yoyote siulizwi wala akuna wa kumuomba ruhusa zaidi tu kumuomba mungu nifike salam
Duh,haaaaaaaaaaaaaa!Umenena vema ila avatar yako tu ndio inachefusha