Biashara kama mtoto mdogo inaitaji u karibu sana,inaitaji malezi mazuri kama mzazi wa biashara
Asikudanganye mtu biashara ili iweze kufanya vizuri lazima uisimamie mwenyewe nna maana uifanye mwenyewe
Biashara inaitaji uwe huru wakati wote ,na itegemea unafanya biashara gani
Biashara ikiiva vizur ikakomaa itawavutia watu wengi tena hauta endesha kwa mtaji wako,mtaji wako utageuka kua faida
Mfano 1kg ya karanga kwa uku nilipo ni 1000 tsh mjini(dar ...) Tsh 1800 ,Karanga ununui kwa fedha zako yako makampuni yanakuwekea hela zaidi ya saba kila kampuni inaitaji tani kumi na tano kila baada ya week mbili usafili kwao
Hapo hautakua haja ya kutoka fedha zako mfukoni kwa ajili ya kuendesha biashara
Tena biashara ambayo itakulazimu kutoa hela nyingine uongezee iyo sio biashara inakufilisi mkuu acha kabisa tena kuanzia kesho isimamishe