Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,037
- 71,272
Watasema weee hauna helaHii pia ni kwa wanawake wenye njaa wakuu. Hivi mfano una date na wale mabinti wa obama kweli. Inabidi uwe romantic,kigentlema,kikila kitu wakuu tusidanganye. Hizi mie naona kwanza mtu wa kumfanyia. Mfano unamuona mtt wa waziri wa jk umemzimikia unadhani miamala utafanya kazi. Na huku. Hela amezoea kuziona zimejaa kabatini akitaka kutoka out anachukua burungutu la 10M anatoka na friends zake kwenda ku spend jamani.
Hapa inatakiwa uwe technical kiukweli tusidanganye pia unampima mtt umuone Kama nayeye anayo interest kwako.
Ila inatakiwa u act vitu ambavyo atatakubali utambebea mkoba wake,utamfungulia mlango wa gari,akipiga chafya utamfuta na handkerchief yako Ile fasta na sio usubirie uambiwe.
Ila huu ndo ukweli.
Tena hawa wenye "Maisha yao" ..uwiii hahaha ukiwajulia ndo kabisaaaaaa kabisaaaaa kwa sababu
Wanamiss vitu vingi ambavyo Pesa zao na elimu zao na uchumi wao ,HAVIWEZI KAMWE KUWAPA.