Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,806
- 152,939
Thibitisha.Ndio naweza
Thibitisha.Ndio naweza
Sababu ngapi..Thibitisha.
Nithibitishe kwa fact ngapi?Thibitisha.
Thibitisha vyovyote unavyoweza.Sababu ngapi..
kuna gravitational force haionekani lakini unaweza kufanya mahesabu na vifaa vipo kama simu na unagundua kama ipo wala haitaji imani hapo inakuwaje? vitu kama malaika haviwezi vikagundulika pia kwa kutumia sensors na vifaa vingine?Kutambua uwepo wa mungu hii hali inabase na faith ya mtu..na ndo mana nguzo ya kwanza ktika dini imani..hapa unaamini vitu visivyoonekana kwa macho kama malaika nakadhalika..problem kwa eisten unatumia brain only not heart kufeel presence of god.[emoji4] [emoji1]
1.maumbile ya viumbe mfano mwanadamu..inaonesha kuwa hakutokeatuu kibahatiThibitisha chochote unayoweza.
Ndo ujue sasa kunavitu binadamu hawezi kuvisense kwa kutumia device au brain pekee lazima pawe na faith..tungekuwa wote ni vipofu duniani isipokuwa MTU mmoja tuu unafikiri tungemuamini kuwa kunarangi nyeupe na nyeusi bila ya kumuamini kwanza au kuwa na imani nae?!!kuna gravitational force haionekani lakini unaweza kufanya mahesabu na vifaa vipo kama simu na unagundua kama ipo wala haitaji imani hapo inakuwaje? vitu kama malaika haviwezi vikagundulika pia kwa kutumia sensors na vifaa vingine?
1.maumbile ya viumbe mfano mwanadamu..inaonesha kuwa hakutokeatuu kibahati
2.kuelea kwa sayari bila ya kugongana..comet zinapita across na solar system bila Kugonga sayari.
3.kwenye qurani mungu alitaja vitu vya kisayansi ambavyo wanasayansi wakafanyia utafiti wakajua in kweli...kama kuwepo kwa maji yasiyo changanyika na ya bahari within a deep sea ndo maana kunabaadhi ya visiwa kwa sasa vinatumia maji hayo.
4.kufa kwa viumbe na kuzaliwa kwa viumbe ni funzo tosha kuwa kuna circle ya life na Luna power inayoiendesha hiyo life
5.theory ya bigbang pia ilieleza kuwa initially kulikuwa na unknown force au supernaturally power iliyosababisha yoote Haya ..hii ni baada ya criticisms nyingi.
6.pia ukisoma kitabu cha mungu qurani hukuti kosa..
7.safari ya kwanza kwenda mwezini ..wale wamarekani watatu walivyoviona na kusikia vipo secretly service..Ila baadhi vimeleak kama kusikikika kwa wito adhana walipokuwa mwezini.
Kwamba binadamu ana mapungufu katika anavyovijua si ushahidi kwamba kuna mungu.Ndo ujue sasa kunavitu binadamu hawezi kuvisense kwa kutumia device au brain pekee lazima pawe na faith..tungekuwa wote ni vipofu duniani isipokuwa MTU mmoja tuu unafikiri tungemuamini kuwa kunarangi nyeupe na nyeusi bila ya kumuamini kwanza au kuwa na imani nae?!!
Hiliswali lipo kwenye maamuzi yake Mimi na we we hatujui why..au subiri uje umuulize mwenyewe directlyKwamba binadamu ana mapungufu katika anavyovijua si ushahidi kwamba kuna mungu.
Ni ushahidi wa kwamba mungu hayupo.
Kama kuna mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa nini atuumbe tukiwa na mapungufu katika ujuzi wetu?
In fact, kwa nini aumbe chochote kilicho na mapungufu yoyote at all?
Mimi siwezi kumuuliza mungu ambaye siamini yupo.Hiliswali lipo kwenye maamuzi yake Mimi na we we hatujui why..au subiri uje umuulize mwenyewe directly
Nnamuelewa vile alivyotaka tuvijue Ila mengine katuwekea kuwa in siri mfano kifo...hapo utaniuliza kwanini kaweka kifo kuwa siri?..Mimi siwezi kumuuliza mungu ambaye siamini yupo.
Wewe unayeamini yupo unaonekana humuelewi, ndiyo maana huwezi kujibu swali.
Na kama unamuamini mungu usiyemuelewa, unajuaje kwamba humuamini mungu ambaye hayupo?
Kwa maneno mengine:-
Unajuaje kwamba mungu yupo wakati hata kumuelewa humuelewi?
Unajuaje kwamba yupo na unamuelewa alivyotaka tuvijue, na si kwamba hayupo ndiyo maana kuna vingine vinaonekana havieleweki?Nnamuelewa vile alivyotaka tuvijue Ila mengine katuwekea kuwa in siri mfano kifo...hapo utaniuliza kwanini kaweka kifo kuwa siri?..
Kiranga nimekutajia sababu au fact hapo juu kama 6 hivi za evidence kuwa mungu yupo..Unajuaje kwamba yupo na unamuelewa alivyotaka tuvijue, na si kwamba hayupo ndiyo maana kuna vingine vinaonekana havieleweki?
Nimezijibu zote kuonyesha zilivyopwaya, hujaziendeleza kwa kunijibu nilivyokujibu.Kiranga nimekutajia sababu au fact hapo juu kama 6 hivi za evidence kuwa mungu yupo..
Unaogopa kufa au huogopi..nijibu hili swali plsNimezijibu zote kuonyesha zilivyopwaya, hujaziendeleza kwa kunijibu nilivyokujibu.
Unajua kusoma?
Siogopi kufa, sitaki kufa nisivyotaka.Unaogopa kufa au huogopi..nijibu hili swali pls
Unajuaje kwamba mungu ni roho na hiyo habari ya kwamba mungu ni roho si hadithi tu isiyo na ukweli wowote?KARANGA wewe ni moja ya watu wenye uwezo mkubwa ktk kufafanua na kufundisha.ila hili swala la MUNGU hakuumba baadhi ya vitu naona unalifafanua kisayansi(kidunia) ni kosa tena kosa kuwa sana na HAKIKA siku inakuwa wewe na wenzako mtaadhibiwa kwa kila neno mlilopotosha.Mungu ni roho ni kamili na haina mpaka.na waliyo rohoni(watenda mema au watakatifu walioko duniani) huona maana maajabu yake.na kumbuka biblia si gazeti au kitabu cha hadithi,kusoma biblia bila kuongozwa na roho mtakatifu ni bure ni sawa na kusoma gazeti kwa sababu ni mambo ya rohoni
Kiranga nimegundua we we ni mbishi tuu..swali hujajibu hilo unaogopakufa au huogopiSiogopi kufa, sitaki kufa nisivyotaka.
Unaweza kuthibitisha mungu yupo?
Majibu yako yote uliyotoa kama uthibitisho yana walakini ambao nimeuonyesha hapo juu.