Jimbi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 3,951
- 4,264
Akili zimeanza kuwaingia, eeh?Mh. Rais aangalie namna ya kupunguza maslahi ya Ubunge maana huko kumegeuka mahali ambako kiafya ya Ubora wa Uwakilishi sio salama.
Akili zimeanza kuwaingia, eeh?Mh. Rais aangalie namna ya kupunguza maslahi ya Ubunge maana huko kumegeuka mahali ambako kiafya ya Ubora wa Uwakilishi sio salama.
Uchumi wa kati ngazi ya chini wenye kumfanya mwanchi kuweza kuwa na kipato cha dola za kimarekani £ 1080.hio ndio kazi ya linchi LA uchumi Wa kati
Vijana wa Lumumba WEUPE SANA KICHWANIHivi mwenye wajibu wa kupunguza Ni Katiba au Rais??? 😂😂😂
Tutaelewana TU in Dr Shika voice
tatizo ni katiba yetuMh. Rais aangalie namna ya kupunguza maslahi ya Ubunge maana huko kumegeuka mahali ambako kiafya ya Ubora wa Uwakilishi sio salama.
Mh. Rais aangalie namna ya kupunguza maslahi ya Ubunge maana huko kumegeuka mahali ambako kiafya ya Ubora wa Uwakilishi sio salama.
Watoto wa matajiri hawana haki au hawaruhusiwi kugombea?
Kama baba yako hakuisaidia TANU na baadae CCM mtabaki kushangilia na kuimba mapambio chezea Pesa wewe
Ungetaja majina ya hao watoto wa matajiri na sehemu walizogombea bila hivyo itakuwa uzushi tu.
Hivi mwenye wajibu wa kupunguza Ni Katiba au Rais???
Tutaelewana TU in Dr Shika voice
Kabisa ili kunusuru Taifa, Wabunge walipwe chini ya 1m kwa mwezi. Wapewe madereva wa Serikali na pawe na hostel za bunge dodoma
Kazi ya kuliokoa Taifa imebaki Sasa mikononi Mwa Polepole, Bashiru na JPM...
Wabunge wa "Vitu maalum" (so special)
Sehemu zote rushwa imejaa mkuuDar es salaam imeongoza kwa rushwa
ndio waliojitokeza sasaKwanini wawe wao tu?