Viti Maalumu Vijana Watoto wa matajiri waongoza

Mao Tanzania

JF-Expert Member
Nov 23, 2018
210
231
Wajumbeeee!

Poleni kwa misiba na maombolezo. Mwenyezi Mungu azipumzishe pahala pema peponi roho za waliotutangulia.


Nakumbuka kushuhudia Uchaguzi wa CCM MWAKA 2000 Mimi nikiwa mtia mmojawa of mikoa wa mashariki mwa Tanzania. Hayati Mzee Mkapa akiwa Mwenyekiti wa Chama alikata majina ya Waliohonga kwa hasira Sana.

Sasa nimemkumbuka na kukumbuka hayo nilipokuwa napitia pitia Uchaguzi wa umoja wa vijana viti Maalumu. Wengi waliong'ara Ni Watoto wa matajiri. Huenda ikaashiria matumizi makubwa ya pesa.

Kwa waliotia nia wanasema kura ziliwekwa mnadani, kati ya 50,000 hadi 250000 na katika chaguzi hizi za vitu maalumu, wale middle men wamekula hadi m1 maeneo mengine.

Kwa ujumla, kupunguza nguvu vyama vya upinzani, kupunguza nguvu ya vyombo vya habari na kuondoa wanachama wote kushiriki mchakato wa kura za maoni kunaweza kuwa kumechochea haya.

Kazi ya kuliokoa Taifa imebaki Sasa mikononi Mwa Polepole, Bashiru na JPM
 
Hayo mambo yapo siku nyingi sana. Labda wewe ndio unashangaa. Na hayataisha labda mbinguni.

Ipo siku kila mjumbe atapewa 1m mpaka 200m kwa ajili ya kura.

Labda kupunguza itabidi mishahara na marupurupu ya mbunge yawe laki tano kwa mwezi. Na pasiwe na kiinua mgongo.
 
Wajumbeeee!

Poleni kwa misiba na maombolezo. Mwenyezi Mungu azipumzishe pahala pema peponi roho za waliotutangulia.


Nakumbuka kushuhudia Uchaguzi wa CCM MWAKA 2000 Mimi nikiwa mtia mmojawa of mikoa wa mashariki mwa Tanzania. Hayati Mzee Mkapa akiwa Mwenyekiti wa Chama alikata majina ya Waliohonga kwa hasira Sana.

Sasa nimemkumbuka na kukumbuka hayo nilipokuwa napitia pitia Uchaguzi wa umoja wa vijana viti Maalumu. Wengi waliong'ara Ni Watoto wa matajiri. Huenda ikaashiria matumizi makubwa ya pesa.

Kwa waliotia nia wanasema kura ziliwekwa mnadani, kati ya 50,000 hadi 250000 na katika chaguzi hizi za vitu maalumu, wale middle men wamekula hadi m1 maeneo mengine.

Kwa ujumla, kupunguza nguvu vyama vya upinzani, kupunguza nguvu ya vyombo vya habari na kuondoa wanachama wote kushiriki mchakato wa kura za maoni kunaweza kuwa kumechochea haya.

Kazi ya kuliokoa Taifa imebaki Sasa mikononi Mwa Polepole, Bashiru na JPM
Hiki ni chama chenye kutetea wanyonge, kwa hiyo wao hawana nafasi ya kufikiriwa ktk fursa za uwakilishi, achilia kupewa nafasi kupitia makundi yao maalum. Katika hii ni biashara ya rushwa ni lazima wawe watiifu kwa mabwana zao, kwa kuwa wao ni watwana tu, ndiyo maana wamepewa jina hilo.

Kwanza wanataka nini wakati tayari wamekwishapewa uhuru wa kujitafutia ridhiki zao ktk miji na majiji kwa kufanya biashara zao holela mitaani bila bughudha yoyote ile kutoka kwa mgambo.
 
Mh. Rais aangalie namna ya kupunguza maslahi ya Ubunge maana huko kumegeuka mahali ambako kiafya ya Ubora wa Uwakilishi sio salama.
 
Wajumbeeee!

Poleni kwa misiba na maombolezo. Mwenyezi Mungu azipumzishe pahala pema peponi roho za waliotutangulia.


Nakumbuka kushuhudia Uchaguzi wa CCM MWAKA 2000 Mimi nikiwa mtia mmojawa of mikoa wa mashariki mwa Tanzania. Hayati Mzee Mkapa akiwa Mwenyekiti wa Chama alikata majina ya Waliohonga kwa hasira Sana.

Sasa nimemkumbuka na kukumbuka hayo nilipokuwa napitia pitia Uchaguzi wa umoja wa vijana viti Maalumu. Wengi waliong'ara Ni Watoto wa matajiri. Huenda ikaashiria matumizi makubwa ya pesa.

Kwa waliotia nia wanasema kura ziliwekwa mnadani, kati ya 50,000 hadi 250000 na katika chaguzi hizi za vitu maalumu, wale middle men wamekula hadi m1 maeneo mengine.

Kwa ujumla, kupunguza nguvu vyama vya upinzani, kupunguza nguvu ya vyombo vya habari na kuondoa wanachama wote kushiriki mchakato wa kura za maoni kunaweza kuwa kumechochea haya.

Kazi ya kuliokoa Taifa imebaki Sasa mikononi Mwa Polepole, Bashiru na JPM
Watoto wa matajiri hawana haki au hawaruhusiwi kugombea?
 
Wajumbeeee!

Poleni kwa misiba na maombolezo. Mwenyezi Mungu azipumzishe pahala pema peponi roho za waliotutangulia.


Nakumbuka kushuhudia Uchaguzi wa CCM MWAKA 2000 Mimi nikiwa mtia mmojawa of mikoa wa mashariki mwa Tanzania. Hayati Mzee Mkapa akiwa Mwenyekiti wa Chama alikata majina ya Waliohonga kwa hasira Sana.

Sasa nimemkumbuka na kukumbuka hayo nilipokuwa napitia pitia Uchaguzi wa umoja wa vijana viti Maalumu. Wengi waliong'ara Ni Watoto wa matajiri. Huenda ikaashiria matumizi makubwa ya pesa.

Kwa waliotia nia wanasema kura ziliwekwa mnadani, kati ya 50,000 hadi 250000 na katika chaguzi hizi za vitu maalumu, wale middle men wamekula hadi m1 maeneo mengine.

Kwa ujumla, kupunguza nguvu vyama vya upinzani, kupunguza nguvu ya vyombo vya habari na kuondoa wanachama wote kushiriki mchakato wa kura za maoni kunaweza kuwa kumechochea haya.

Kazi ya kuliokoa Taifa imebaki Sasa mikononi Mwa Polepole, Bashiru na JPM
Kama baba yako hakuisaidia TANU na baadae CCM mtabaki kushangilia na kuimba mapambio chezea Pesa wewe
 
Ungetaja majina ya hao watoto wa matajiri na sehemu walizogombea bila hivyo itakuwa uzushi tu.
 
Mh. Rais aangalie namna ya kupunguza maslahi ya Ubunge maana huko kumegeuka mahali ambako kiafya ya Ubora wa Uwakilishi sio salama.


Hivi mwenye wajibu wa kupunguza Ni Katiba au Rais??? 😂😂😂

Tutaelewana TU in Dr Shika voice
 
Mh. Rais aangalie namna ya kupunguza maslahi ya Ubunge maana huko kumegeuka mahali ambako kiafya ya Ubora wa Uwakilishi sio salama.
Kabisa ili kunusuru Taifa, Wabunge walipwe chini ya 1m kwa mwezi. Wapewe madereva wa Serikali na pawe na hostel za bunge dodoma
 
Wajumbeeee!

Poleni kwa misiba na maombolezo. Mwenyezi Mungu azipumzishe pahala pema peponi roho za waliotutangulia.


Nakumbuka kushuhudia Uchaguzi wa CCM MWAKA 2000 Mimi nikiwa mtia mmojawa of mikoa wa mashariki mwa Tanzania. Hayati Mzee Mkapa akiwa Mwenyekiti wa Chama alikata majina ya Waliohonga kwa hasira Sana.

Sasa nimemkumbuka na kukumbuka hayo nilipokuwa napitia pitia Uchaguzi wa umoja wa vijana viti Maalumu. Wengi waliong'ara Ni Watoto wa matajiri. Huenda ikaashiria matumizi makubwa ya pesa.

Kwa waliotia nia wanasema kura ziliwekwa mnadani, kati ya 50,000 hadi 250000 na katika chaguzi hizi za vitu maalumu, wale middle men wamekula hadi m1 maeneo mengine.

Kwa ujumla, kupunguza nguvu vyama vya upinzani, kupunguza nguvu ya vyombo vya habari na kuondoa wanachama wote kushiriki mchakato wa kura za maoni kunaweza kuwa kumechochea haya.

Kazi ya kuliokoa Taifa imebaki Sasa mikononi Mwa Polepole, Bashiru na JPM
Kazi ya kuliokoa Taifa imebaki Sasa mikononi Mwa Polepole, Bashiru na JPM...
 
Mbona hiyo ndiyo maisha halisi ya wana lumumba? Hakuna jambo geni hapo ndugu
Wajumbeeee!

Poleni kwa misiba na maombolezo. Mwenyezi Mungu azipumzishe pahala pema peponi roho za waliotutangulia.


Nakumbuka kushuhudia Uchaguzi wa CCM MWAKA 2000 Mimi nikiwa mtia mmojawa of mikoa wa mashariki mwa Tanzania. Hayati Mzee Mkapa akiwa Mwenyekiti wa Chama alikata majina ya Waliohonga kwa hasira Sana.

Sasa nimemkumbuka na kukumbuka hayo nilipokuwa napitia pitia Uchaguzi wa umoja wa vijana viti Maalumu. Wengi waliong'ara Ni Watoto wa matajiri. Huenda ikaashiria matumizi makubwa ya pesa.

Kwa waliotia nia wanasema kura ziliwekwa mnadani, kati ya 50,000 hadi 250000 na katika chaguzi hizi za vitu maalumu, wale middle men wamekula hadi m1 maeneo mengine.

Kwa ujumla, kupunguza nguvu vyama vya upinzani, kupunguza nguvu ya vyombo vya habari na kuondoa wanachama wote kushiriki mchakato wa kura za maoni kunaweza kuwa kumechochea haya.

Kazi ya kuliokoa Taifa imebaki Sasa mikononi Mwa Polepole, Bashiru na JPM
 
Hiyo ndiyo itakuwa ndiyo muarobaini wa hiki kimbunga
Hayo mambo yapo siku nyingi sana. Labda wewe ndio unashangaa. Na hayataisha labda mbinguni.

Ipo siku kila mjumbe atapewa 1m mpaka 200m kwa ajili ya kura.

Labda kupunguza itabidi mishahara na marupurupu ya mbunge yawe laki tano kwa mwezi. Na pasiwe na kiinua mgongo.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom