Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,205
- 3,009
Ni wazi kuwa CHADEMA kitazoa kura za kutosha katika Uchaguzi Mkuu ujao.
Pamoja na uchafuzi wa 2020 CHADEMA waliambulia nafasi 19 za viti maalumu. Ni wazi 2025 wanaweza pata hata nafasi 40.
Hawa wanawake msiwasahau kwenye Mkeka wenu.
1. Rose Mahemba, (Njombe) yupo vizuri sana huyu mama.
2. Hilda Newton, huyu kwa social media hasa Twitter anajitahidi kukinadi chama.
3. Sheila, binti mdogo sana ila mpambani aswa kwa Chama.
4. Catherine Ruge, hasiposhinda Serengeti, huyo tiyari ashakuwemo kwenye mkeka ajiandae kuapishwa.
5. Upendo Peneza
6. Yule aliyegombea na Mwana FA Ubunge 2020.
7. Yule mama Mgombea Ubunge wa Karatu yupo moto sana.
8. .......
9. .....
10. ........
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
Pamoja na uchafuzi wa 2020 CHADEMA waliambulia nafasi 19 za viti maalumu. Ni wazi 2025 wanaweza pata hata nafasi 40.
Hawa wanawake msiwasahau kwenye Mkeka wenu.
1. Rose Mahemba, (Njombe) yupo vizuri sana huyu mama.
2. Hilda Newton, huyu kwa social media hasa Twitter anajitahidi kukinadi chama.
3. Sheila, binti mdogo sana ila mpambani aswa kwa Chama.
4. Catherine Ruge, hasiposhinda Serengeti, huyo tiyari ashakuwemo kwenye mkeka ajiandae kuapishwa.
5. Upendo Peneza
6. Yule aliyegombea na Mwana FA Ubunge 2020.
7. Yule mama Mgombea Ubunge wa Karatu yupo moto sana.
8. .......
9. .....
10. ........
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app