Vitambulisho vya wamachinga vyaingiza Bilioni 20. Dar yaongoza, RC Makonda apongezwa

Nawashangaa wanaopongeza Dar kuuza vitambulisho vingi. Dar kuna wakazi wengi walio mjini na ambao ni wajasiriamali. Ukienda Katavi mji ni mdogo sana na population ni ndogo sana. Ingebidi wachukue idadi ya wakazi wa jiji la Dar walinganishe na wakazi wa mji wa mpanda ambao ni makao makuu ya mkoa wa Katavi. Hapo Takwimu zingekuwa halisi.
Wangetafuta asilimia tu... Idadi ya wenye vitambulisho gawa kwa idadi ya wanaotakiwa kuwa navyo
 
inacheckesha sana kuna masoko sasa hivi kuna ugomvi wa hela za kulipa walinzi na usafi .wanalipia hizo 20,000 bado hela za usafi na ulinzi palepale zipo hizo za vitambulisho hazijulikani zinaenda wapi wala mehsabu yake labda zinaenda kununulia ndege kwa cash ila mfumo wa hela za halmashauri umevurugwa kwelikweli, this is a joke
 
Issue sio machinga na wafanyabishara kuwa wengi, hapa ni elimu na ubunifu. Ukiongea hivyo ninakuwa na mashaka na shule yako. Unataka kutuaminisha kuwa Tabora imekuwa ya pili kwa kuwa Tabora ina wamachinga wengi kuliko Mwanza, Arusha, Mbeya na Dodoma ambazo zinavutana chini? RC Makonda ni super creativity, let we appreciate this
 
Issue sio machinga na wafanyabishara kuwa wengi, hapa ni elimu na ubunifu. Ukiongea hivyo ninakuwa na mashaka na shule yako. Unataka kutuaminisha kuwa Tabora imekuwa ya pili kwa kuwa Tabora ina wamachinga wengi kuliko Mwanza, Arusha, Mbeya na Dodoma ambazo zinavutana chini? RC Makonda ni super creativity, let we appreciate this
Chadema akili zao ziko likizo muda wote
 
Dar hata ukiamua kufanya biashara hata ya kuuza chenji kwa kondakta wa daladala bado inalipa sasa jifsnye janja anzisha hiyo biashara huko mkoani uone faida yake. DAR ni jiji la biashara kwanza unkiangalia kiuhalisia idadi ya machinga pembezoni mwa barabara na kwenye vituo vya daladala kama wote wangekuw na vitambukisho bado idadi hiyo ni ndogo sana so kusema inaongoza hakuna jambo la kishangaza au kushabikia sana. Baadhi ya mikoa uwe pia unaangalia shughuli za kiuchumi zinategemea nini kwa propotionality ya population iliyopo. Usikimbilie tu kusema inatakiwa ifuatiwe na Mwanza sijui Mbeya na Arusha kwa vile ni majiji.
 
Hali inazidi kuwa mbaya kwa wasiomtakia mema RC Makonda baada ya kazi zake kuzidi kumnyokea na safari hii ameongoza katika makusanyo ya hela ya vitambulisho vya wamachinga.

Wenye roho ya korosho na Makonda mjinyonge tu sasa maana bado yupo yupo sana kwenye nafasi yake.View attachment 1098052
Kumtegemea Mwenyezi Mungu katika kila jambo kuna faida kubwa sana natamani ulimwengu wote wamtegee Mungu waache chuki na wivu.

Me and Makonda are living testimony.

Kwa Mungu raha sana.Karibuni.
 
mtapata tabu sana kama uRC wa Dar ndio unawauma:D
Ni utendaji kazi mzuri tu mkuu tunataka akawatumikie watanzania wa kule na aunyanyue ule mkoa uje kwenye ramani na uwe mkoa mashuhuri kwa nchi za africa
 
Kwani vitambulisho vimegawia sawa mikoa yote?

Hivi unyumbu utawatoka lini kichwani?
Dar wamepewa vitambulisho 175,000 na Katavi kapewa 60000. Kwa hesabu hapo DAr kapewa mara 3 Zaidi ya Katavi. Sasa wewe kwa uelewa wako wajasiriamali wa Dar kweli ni mara tatu ya wale wa Katavi? Naona wa wa Dar wanazidi hata mara mia na Zaidi wale wa Katavi.
Angalia jiji la Tanga nalo wamepewa 60000 kama Katavi, hapo kuna uwiano kweli? Mimi napajua Katavi watu wa kule ni wakulima wengi na hali ya hewa ni nzuri sana inakubali mazao mengi. Karibu kila mtu ana bustani yake ya mboga na pia mashambani watu wana mbogamboga za kutosha hivyo hata wauza mboga ni wachache, migahawa ya kubahatisha. Hili zoezi la lawama tuu. Sasa wampeleke Makonda Katavi tuone kama atauza vitambulisho 166,000 kama alivyouza Dar.
 
Dar wamepewa vitambulisho 175,000 na Katavi kapewa 60000. Kwa hesabu hapo DAr kapewa mara 3 Zaidi ya Katavi. Sasa wewe kwa uelewa wako wajasiriamali wa Dar kweli ni mara tatu ya wale wa Katavi? Naona wa wa Dar wanazidi hata mara mia na Zaidi wale wa Katavi.
Angalia jiji la Tanga nalo wamepewa 60000 kama Katavi, hapo kuna uwiano kweli? Mimi napajua Katavi watu wa kule ni wakulima wengi na hali ya hewa ni nzuri sana inakubali mazao mengi. Karibu kila mtu ana bustani yake ya mboga na pia mashambani watu wana mbogamboga za kutosha hivyo hata wauza mboga ni wachache, migahawa ya kubahatisha. Hili zoezi la lawama tuu. Sasa wampeleke Makonda Katavi tuone kama atauza vitambulisho 166,000 kama alivyouza Dar.
Unauzungumziaje mkoa wa Simiyu ulianzishwa juzi tu?
 
bashite pia ana magari ya kifahari matano yanayotumia number plate ya serikali,anaongoza kula raha kuliko yeyote TZ kwa mujibu wa mdomo wake,NI ROLE MODEL WA MATOTO YANAYOPATA ZERO SHULENI
 
bashite pia ana magari ya kifahari matano yanayotumia number plate ya serikali,anaongoza kula raha kuliko yeyote TZ kwa mujibu wa mdomo wake,NI ROLE MODEL WA MATOTO YANAYOPATA ZERO SHULENI
Una wivu we dada
 
Dar wamepewa vitambulisho 175,000 na Katavi kapewa 60000. Kwa hesabu hapo DAr kapewa mara 3 Zaidi ya Katavi. Sasa wewe kwa uelewa wako wajasiriamali wa Dar kweli ni mara tatu ya wale wa Katavi? Naona wa wa Dar wanazidi hata mara mia na Zaidi wale wa Katavi.
Angalia jiji la Tanga nalo wamepewa 60000 kama Katavi, hapo kuna uwiano kweli? Mimi napajua Katavi watu wa kule ni wakulima wengi na hali ya hewa ni nzuri sana inakubali mazao mengi. Karibu kila mtu ana bustani yake ya mboga na pia mashambani watu wana mbogamboga za kutosha hivyo hata wauza mboga ni wachache, migahawa ya kubahatisha. Hili zoezi la lawama tuu. Sasa wampeleke Makonda Katavi tuone kama atauza vitambulisho 166,000 kama alivyouza Dar.
Upo sahihi..
Katavi hata wauza matunda tu wanahesabika,
Na biashara ni pale centre karibu na stand na huku sokon pekee
Wangepewa pungufu hata robo ya walichopewa
 
Kuna jipya gan hapo, nani hajui wamachinga wengi wako Dar? Hivi ukianza kuimba mapambio akili zinahama? Yaani population ya machinga wa Dar unataka kuilinganisha na Katavi? Akili yako ina tatizo
 
Back
Top Bottom