GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,864
Hali inazidi kuwa mbaya kwa wasiomtakia mema RC Makonda baada ya kazi zake kuzidi kumnyokea na safari hii ameongoza katika makusanyo ya hela ya vitambulisho vya wamachinga.
Wenye roho ya korosho na Makonda mjinyonge tu sasa maana bado yupo yupo sana kwenye nafasi yake.View attachment 1098052
Dar es Salaam haipongezwi kwa Ugawaji wa Vitambulisho vya Wamachinga bali Dar es Salaam inapongezwa kwa Kumaliza Kero ' Sugu ' kama za Jiji / Mkoa kuwa Mchafu, Usafiri, Miundombinu mibovu, Milipuko ya Magonjwa, Kupigania Unyanyasaji wa Haki za Watu katika Nyanja mbalimbali, Elimu haba, Maisha mabaya wanayoishi Walimu na Mapolisi, Mafuriko yaliyozoeleka ya miaka nenda rudi, Mlipuko wa Bei, Uhalifu ambao bado unaendelea hasa humu Mitaani na mengineyo mengi tu. Vyeti vya Wamachinga ' Logically ' tu havina Tija na Mashiko kwa Jiji / Mkoa mzima wa Dar es Salaam kama hizo Changamoto Kuu tajwa hapo hajizatafutiwa ufumbuzi wake. Semeni tu kuwa mnataka Kumpamba Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Makonda ili Bosi wake ( Mheshimiwa Rais ) azidi Kumuona bora na Sisi tuliowazidi Akili / Fikra ambazo bahati mbaya nyie hamna tutawaelewa.