Vitambulisho vya wamachinga vyaingiza Bilioni 20. Dar yaongoza, RC Makonda apongezwa

Mkuu wa mkoa wa Katavi ndo ametumbuliwa eeh?

Naona hii ni moja ya sababu,anashika mkia
 
Sasa Bilioni 20 kwa mwaka jiwe zitamsaidia nini.Hii ni roho ya kutu.Ushauri wangu kwake.
-Ondoa bureaucracy kwenye uanzishaji wa biashara mpya.
-Punguza kodi na matozo yasiyo na tija.

Zikianzishwa biashara nyingi,utapata zaidi.Hizi hela za wauza mchicha na vitumbua ni uonevu tu.
Kemia Na uchumi wapi Na wapi
 
Kazi moja wapo kuu ya Bunge ni kuidhinisha vyanzo vya Mapato na Matumizi

Mapato ya vitambulisho vya Wamachinga yalipitishwa kwenye wizara au mamlaka gani Bungeni?

Mwanzoni nilijua mahitajii ya Vitambulisho yatakuwa Makubwa kuliko supply lakin nashuhudia aggressive selling kubwa sana
 
Ni zaidi ya bilioni 450.
I can imagine. That is insignificant amount. Ila chururu, sio ndondondo. Ina mchango wake. Na wanaolipia wanatakiwa wawe wafuatiliaji sasa hela zao zinatumikaje. It will raise accountability for all
 
Kazi moja wapo kuu ya Bunge ni kuidhinisha vyanzo vya Mapato na Matumizi

Mapato ya vitambulisho vya Wamachinga yalipitishwa kwenye wizara au mamlaka gani Bungeni?

Mwanzoni nilijua mahitajii ya Vitambulisho yatakuwa Makubwa kuliko supply lakin nashuhudia aggressive selling kubwa sana

TRA wameishiwa ubunifu wa wapi kuna vyanzo vipya vya mapato. Kila mwaka wakiwa na wizara ya fedha, ni PAYE, sigara, bia, mafuta na yale yanayoendana.
Imagine kwanini hawaoni watu wengine wote wanaofanya shughuli zenye kipato kwenye maeneo tofauti
 
Hali inazidi kuwa mbaya kwa wasiomtakia mema RC Makonda baada ya kazi zake kuzidi kumnyokea na safari hii ameongoza katika makusanyo ya hela ya vitambulisho vya wamachinga.

Wenye roho ya korosho na Makonda mjinyonge tu sasa maana bado yupo yupo sana kwenye nafasi yake.View attachment 1098052
Ungesema amewaleta yeye hao wamachinga Dar ningekuelewa, sio ubingwa kuwagawia vitambulisho wala si hiari.
 
Kama ni kigezo cha kuwa RC mkusanyaji, angehamishiwa Katavi ili amalize vile 60,000. Hapo dsm aletwe wa Katavi
 
Dar inaidadi ya watu wanaokisiwa kuwa zaidi ya Milioni 5, na Dar hakuna wakulima, ni mji wa wafanyakazi na wafanyabiashara, ukiangalia kuna wafanyabiashara wadogo zaidi ya 700k hivyo nilitegemea angalau vitambulisho 450k kutolewa kwa Dar peke yake.
Kuongezea tu, Dar ni Jiji la kwanza kwa ukubwa Afrika Mashariki - ukweli ndo huo hizo takwimu kwa kweli hazisaidii saana maana ndo kitovu cha biashara!!
 
Back
Top Bottom