kuna mahali ukibandua utaikuta saini
huenda tuhoji nchi nyingine vikoje
Wkati mwingine tunatakiwa tuseme;
Na huyo waziri wa vitambulisho naye hafai vile vile
anaingia mkataba feki kwa ajili ya ten pasent;
Ingekuwa china hapa tungekuwa tunaongea mengine kabisa.
.......... BAK utaifa mbele kwanza.........
Nazidi kupata undani wa kauli za JK kuwa atatengeneza mabillionea kwa kuanzia na mabillion yake mwenyewe. Nafikiri hata wengine hamkumuelewa kama mimi hapo awali.Nimekicheck kitambulisho cha taifa nikachoka hoi kina mapungufu kibao wajanja wametafuna mabilioni ya bure lakini hakina kitu,bank wana haki kuvikataa.
Safari Ni Safari Nipe Uzoefu wako wa Huko Nyuma, Je Huwa unaweka kwenye walleti?
huenda tuhoji nchi nyingine vikoje
Binafsi kama mtu wa kawaida bila professional, nina kitambulisho cha mpiga kura (cha zamani). driving license, cheti cha kuzaliwa, TIN certificate ya TRA, Passport ya kusafiria vyote vikiwa vimetolewa na Serikali hii hii yetu sikivu ya lichama likongwe. Siongezi kiingine!
Sasa nilipofuatilia mchakato wa vitambulisho vya taifa na kuona ufisadi uliokuwa umezingira huu mradi huku nikiwa sina jinsi ya kuzuia hili zoezi lililojaa ujasiri wa kifisadi, nikaamua moja nalo ni kutoshiriki katika huu ufisadi kwa kutojihusisha na sehemu yoyote ya mchakato huu.
Kama kweli vimekataliwa na benki ni wazi nami nilikuwa sahihi kutoshiriki hili zoezi.