Vitambulisho vya Taifa vyakataliwa Benki

Vitambulisho vya Taifa vyakataliwa Benki

hope you are not serious! kwa hiyo kila mahali zitawekwa scanner za kusoma signature kwenye hivyo vitambulisho?

yes kila mahali zitakuwepo hizo machine kuanzia kijijini nyamisati,samvu la chole mpaka tundwi songani vijiji vyote nchini.
 
wamesema saini imefichwa ki elektroniki

Wazushi hawa wanaificha ya nini maana kama ni kitambulisho cha Taifa signature inatakiwa kuonkana ili kama ukinda sehemu udhibitishe sahihi yako kwa kuangalia na ile iliyopo kwenye kitambulisho cha Taifa (hawataki kukiri mapungufu hawa kwani signature sio siri kwa kuwa kila mwnye kitambulisho alishachuliwa finger print zake hizo ndio siri zinakuwepo sehemu maalumu)
 
Hii nchi inachezea hela zetu za kodi;
- Kitambulisho cha kupigia kura cha zamani eti hakitumiki tena;
- Kitambulisho cha taifa, sijui nacho ni feki;
- Kitambulisho kipya cha kupigia kura.

Hivi nyie wanasheria mliobobea mnawezaje kukaa kimya
na kuangalia upotevu mkubwa kama huu wa pesa
za walipa kodi.


Ni kama kila mtu anaendesha familia yake...anakuja na sera zake na maamuzi yake.
 
Jamani .... hivi vitambulisho ni biometric .... pale unapoweka Alana za vidole ndipo details na utambulisho wako vinakuwa revealed ikiwamo saini yako, picha na mahali unapoishi ulipo jiandikisha, kwani address yako wewe hauhami? .... hakuna haja ya kujaza mavitu mengi kwenye ile kadi

I don't support any mis-use of taxpayers money ... but a fact remain fact ....
Kama ni hivyo basi sawa lakini tatizo linakuja ni katika situation zipi unatumia kitambulisho cha taifa pia nilichojifunza kuna haja ya kuwepo tena mashine ya utambuzi wa signature karibu taasisi zote.
 
Hii nchi inachezea hela zetu za kodi;
- Kitambulisho cha kupigia kura cha zamani eti hakitumiki tena;
- Kitambulisho cha taifa, sijui nacho ni feki;
- Kitambulisho kipya cha kupigia kura.

Hivi nyie wanasheria mliobobea mnawezaje kukaa kimya
na kuangalia upotevu mkubwa kama huu wa pesa
za walipa kodi.

Siamini kama kweli hii comment imetoka kwako au kuna mtu ka hike password yako. Hiyo ndiyo serikali ya CCM ambayo ni "byo mwanshonzi" kwamba kila mtu anasharubu. Yaani kitambulisho kilichotolewa na serikali taasisi zetu za ndani zitakataa kukitambua kwa misingi gani? Au ndo tayari wajanja wameishavifyatua vitambulisho feki?

Tiba
 
Hii nchi inachezea hela zetu za kodi;
- Kitambulisho cha kupigia kura cha zamani eti hakitumiki tena;
- Kitambulisho cha taifa, sijui nacho ni feki;
- Kitambulisho kipya cha kupigia kura.

Hivi nyie wanasheria mliobobea mnawezaje kukaa kimya
na kuangalia upotevu mkubwa kama huu wa pesa
za walipa kodi.

Serikali ya CCM
 
Wajanja wamekula hela wanatuletea makapi ya vitambulisho
 
Mamndenyi, siku nyingine ukiweka Utanzania mbele na Umagamba pembeni huwa unaandika mambo ya maana sana. Huu mradi wa vitambulisho vya Taifa umetumia shilingi bilioni 300 pamoja na kutumia pesa nyingi kiasi hiki kumbe vitambulisho vyenyewe ni feki!!!! Dah!!! Hii nchi itaangamizwa na ufisadi.

Hii nchi inachezea hela zetu za kodi;
- Kitambulisho cha kupigia kura cha zamani eti hakitumiki tena;
- Kitambulisho cha taifa, sijui nacho ni feki;
- Kitambulisho kipya cha kupigia kura.

Hivi nyie wanasheria mliobobea mnawezaje kukaa kimya
na kuangalia upotevu mkubwa kama huu wa pesa
za walipa kodi.
 
Last edited by a moderator:
Kitendo cha kukataliwa bank kwanza kimeonyesha udhaifu mmoja wapo maana hakina sign pili tuliambiwa hivi vitambulisho vitakuwa ni smart ambavyo vitaunganisha kwenye mifumo yote ya utambuzi zikiwemo bank chuo etc lakini ukikiangalia hicho kitambulisho hakina kitu chochote cha utambulisho wa smart hata wakisema na hiyo imefichwa ki-electrinically nayo ni uongo na wizi mtupu tatu hologram waliyoweka ni ya kitoto sana ni rahisi sana kuwa faked,kina expire date,hakielezi utambulsiho wa makazi.

Kwa kweli kama Taifa, tumekwama!!

Mimi nafikri rais wetu anataka mambo makubwa sana kuliko uwezo wake wa kuyashughulikia. Hapa namaanisha kuwa uwezo wake kiakili uko below average! Ni kipi ambacho huyu mkmnna ameweza kufanikisha? Ona mambo ya katiba yalivyomwendea kombo, vitambulisho vya Taifa ndo hivyo vinakataliwa benki (sasa hapa wataanzisha mchakato upya?), ujenzi wa barabara wenyewe ni za kichina (ndani ya miaka miwili tu, tunaanza kuweka viraka), maisha bora kwa kila mtanzania ku.ma.ma.ke yameshindikana (sasa hivi amekuja na chorus nyingine - rais wa mwisho kuongoza Tanzania maskini), na mengine mengiiiiiiiiiiiiiiii!

Haaaa! Tumechoka, hebu atuachie nchi yetu tusubiri rais mwenye akili kubwa labda ataweza kututoa hapa tulipo. Wakati anazindua utoaji wa vitambulisho vya Taifa hakugundua mapungufu yoyote yeye kama mkuu wa nchi? Kila kitu anachopelekewa yeye ni kuidhinisha tu bila kuhoji (Nafikri mnakumbuka habari ya vyoo vya Bagamoyo)? Hii ni akili ya mtu mwenye akili ambayo iko below average, period!!! Samahani kwa ubaguzi huu, watu wa Pwani itabidi mjitathimini sana uwezo wenu wa kuongoza uko chini sana. Awamu ijayo iwe zamu ya Bara (Kaskazini, Kati, Ziwa, Nyanda za juu kusini au Magharibi) na siyo Pwani tena, tupate vionjo vipya katika uongozi. Hawa wa Pwani wabaki wakicheza mdundiko, segere, kangamoko n.k, ndiyo size yao!!

Haya matumizi mabaya ya fedha za walalahoi yataisha lini?
 
Wkati mwingine tunatakiwa tuseme;
Na huyo waziri wa vitambulisho naye hafai vile vile
anaingia mkataba feki kwa ajili ya ten pasent;

Ingekuwa china hapa tungekuwa tunaongea mengine kabisa.

.......... BAK utaifa mbele kwanza.........
Mamndenyi, siku nyingine ukiweka Utanzania mbele na Umagamba pembeni huwa unaandika mambo ya maana sana. Huu mradi wa vitambulisho vya Taifa umetumia shilingi bilioni 300 pamoja na kutumia pesa nyingi kiasi hiki kumbe vitambulisho vyenyewe ni feki!!!! Dah!!! Hii nchi itaangamizwa na ufisadi.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Shosti mimi naongelea kitambulisho cha taifa
siyo kadi ya ccm.
Siamini kama kweli hii comment imetoka kwako au kuna mtu ka hike password yako. Hiyo ndiyo serikali ya CCM ambayo ni "byo mwanshonzi" kwamba kila mtu anasharubu. Yaani kitambulisho kilichotolewa na serikali taasisi zetu za ndani zitakataa kukitambua kwa misingi gani? Au ndo tayari wajanja wameishavifyatua vitambulisho feki?

Tiba
 
kwa kweli kama taifa, tumekwama!!

Mimi nafikri rais wetu anataka mambo makubwa sana kuliko uwezo wake wa kuyashughulikia. Hapa namaanisha kuwa uwezo wake kiakili uko below average! Ni kipi ambacho huyu mkmnna ameweza kufanikisha? Ona mambo ya katiba yalivyomwendea kombo, vitambulisho vya taifa ndo hivyo vinakataliwa benki (sasa hapa wataanzisha mchakato upya?), ujenzi wa barabara wenyewe ni za kichina (ndani ya miaka miwili tu, tunaanza kuweka viraka), maisha bora kwa kila mtanzania ku.ma.ma.ke yameshindikana (sasa hivi amekuja na chorus nyingine - rais wa mwisho kuongoza tanzania maskini), na mengine mengiiiiiiiiiiiiiiii!

Haaaa! Tumechoka, hebu atuachie nchi yetu tusubiri rais mwenye akili kubwa labda ataweza kututoa hapa tulipo. Wakati anazindua utoaji wa vitambulisho vya taifa hakugundua mapungufu yoyote yeye kama mkuu wa nchi? Kila kitu anachopelekewa yeye ni kuidhinisha tu bila kuhoji (nafikri mnakumbuka habari ya vyoo vya bagamoyo)? Hii ni akili ya mtu mwenye akili ambayo iko below average, period!!! Samahani kwa ubaguzi huu, watu wa pwani itabidi mjitathimini sana uwezo wenu wa kuongoza uko chini sana. Awamu ijayo iwe zamu ya bara (kaskazini, kati, ziwa, nyanda za juu kusini au magharibi) na siyo pwani tena, tupate vionjo vipya katika uongozi. Hawa wa pwani wabaki wakicheza mdundiko, segere, kangamoko n.k, ndiyo size yao!!

Haya matumizi mabaya ya fedha za walalahoi yataisha lini?

ndioo!!, walisema watatengeneza vitambulisho vingine vya kura, tena tayari fungu limeshatengwa na mchakato soon utaanza.
 
shhhhhhhhhhh........ acha wenzio wanatumia fursa


Hii nchi inachezea hela zetu za kodi;
- Kitambulisho cha kupigia kura cha zamani eti hakitumiki tena;
- Kitambulisho cha taifa, sijui nacho ni feki;
- Kitambulisho kipya cha kupigia kura.

Hivi nyie wanasheria mliobobea mnawezaje kukaa kimya
na kuangalia upotevu mkubwa kama huu wa pesa
za walipa kodi.
 
Ni benki gani imekataa hivyo vitambulisho? Je NIDA ilishirikisha wadau wote (yakiwemo mabenki) katika mchakato wa kuandaa/kusanifu vitambulisho hivyo? Kwa nini baadhi ya mabenki yavikatae?
 
nchi hii viongozi wote wamelan....... kila mradi unakuwa na madudu tu
 
Hii nchi inachezea hela zetu za kodi;
- Kitambulisho cha kupigia kura cha zamani eti hakitumiki tena;
- Kitambulisho cha taifa, sijui nacho ni feki;
- Kitambulisho kipya cha kupigia kura.

Hivi nyie wanasheria mliobobea mnawezaje kukaa kimya
na kuangalia upotevu mkubwa kama huu wa pesa
za walipa kodi.
waweze wapi wanakremishwa vifungu vya mwaka 1900 wanatumia leo,,, wataanzia wapi?... wanasheri a wengi wanauwezo wa kukariri mkubwa kuliko kuchanganua mambo...............
 
Ni benki gani imekataa hivyo vitambulisho? Je NIDA ilishirikisha wadau wote (yakiwemo mabenki) katika mchakato wa kuandaa/kusanifu vitambulisho hivyo? Kwa nini baadhi ya mabenki yavikatae?

uutatumiaje bank wakati sahihi haipo ni picha details zenyewe za kutafuta
 
yes kila mahali zitakuwepo hizo machine kuanzia kijijini nyamisati,samvu la chole mpaka tundwi songani vijiji vyote nchini.
na itakua kabla ya uchaguzi mkuu 2015
 
Back
Top Bottom