radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
View attachment 176970
mwenye habari za kina/ gazeti hili atujuze
serikali yetu inaendeshwa kimazoea,kindugu na kujuana ndo mana mambo ya msingi hawazingatii kwa kuwa hakuna wa kuwauliza siku moja hawatoamini hasa wale walioota vitambi kwa pesa na mali zisizo halali wakapo anza kula kwa shida.