Bank tunavitumia mbona
Bank zipi si mzitaje?? Mbona bank nyingi tu vinatumika
Kweli Mamndenyi? Ni wewe huyu unasema haya? Manake zinapokuja issue za maslahi ya nchi si mnateteaga Jumba lenu lile la rangi ya Maximo? au...?Mara zote kwenye ukweli ni lazima tuonyeshe utaifa wetu mkuu;
wamesema saini imefichwa ki elektroniki
Mkuu bado vinakataliwa?Kitendo cha kukataliwa bank kwanza kimeonyesha udhaifu mmoja wapo maana hakina sign pili tuliambiwa hivi vitambulisho vitakuwa ni smart ambavyo vitaunganisha kwenye mifumo yote ya utambuzi zikiwemo bank chuo etc lakini ukikiangalia hicho kitambulisho hakina kitu chochote cha utambulisho wa smart hata wakisema na hiyo imefichwa ki-electrinically nayo ni uongo na wizi mtupu tatu hologram waliyoweka ni ya kitoto sana ni rahisi sana kuwa faked,kina expire date,hakielezi utambulsiho wa makazi.
Mkuu bado vinakataliwa?
Maana kwetu mchakato ndio umeanza napiga hesabu niende au nisiende!