Serikali wanachukua fedha then hawarudishi,mafisadi wanakopa kwenye mifuko nao hawarudishi unategemea itaendelea? Kila mwaka ma DG na officers wanalipana bonus za 200m hadi 400m unategemea nini? Saccos wanakopeshwa watu wanakula hawarudishi ni kama mabillioni ya jk.
Ndo mana hata mim sirudish hiyo hela ya mkopo wa chuo kikuu,
Hili ndo shamba la bibi kila mtu kwa sehemu yake