Vitambulisho vya Taifa vyakataliwa Benki

Vitambulisho vya Taifa vyakataliwa Benki

wana macho lakn hawaoni..........very simple logic, tz ndio exceptional? unasumbuka bure Safari na huyu mtu
Naweza kusema kuwa una maslahi na mradi huu na kama ni hivyo nihakikishie kuwa kitambulisho hiki kama kikitumika kila mara kitadumu miaka kumi. Kumbuka kuwa si wewe peke yako uliyeerevuka.

Hoja hapa ni vitambulisho hivi kutokubalika benki na kwingineko kutokana na mapungufu kadhaa. Mifano pia imewekwa ya nchi zingine walivyoboresha. Wewe unakuja na hoja za dharaudharau humu just because your tummy get swollen for doing nothing!

Research gani unayoiizungumzia wakati vitu vipo wazi na dhahiri?
 
Yaani tukubali hili zoezi limekua abdakabdabraaaa
 
Wkati mwingine tunatakiwa tuseme;
Na huyo waziri wa vitambulisho naye hafai vile vile
anaingia mkataba feki kwa ajili ya ten pasent;

Ingekuwa china hapa tungekuwa tunaongea mengine kabisa.

.......... BAK utaifa mbele kwanza.........

ha ha ha ha! tangu lini GAMBA akawa na uzalendo wa taifa lake?
 
wewe ...kamura mbona unatete upuzi wanaofanya hao nida kwa wametumia pesa vibaya , pili kwanini wazifanye kadi hizo zi expire...kuhusu mpaka bank wanazikata inamanisha hizo caed washaziona hazina ubora kabisa alafu usiseme eti tuweke uzalendo mbele tuweke uzalendo kwa lipi, kila kitu serikali hi wakifanya wanafanya upumbavu kuanzia kutengeneza pesa, barabara zao n.k vyote hivyo vibovu wao ndiyo hawana uzalendo ndomana kwa serikali hii na hawa magamba tutakuwa maskinI daima chini ya utawala wao
 
Kitendo cha kukataliwa bank kwanza kimeonyesha udhaifu mmoja wapo maana hakina sign pili tuliambiwa hivi vitambulisho vitakuwa ni smart ambavyo vitaunganisha kwenye mifumo yote ya utambuzi zikiwemo bank chuo etc lakini ukikiangalia hicho kitambulisho hakina kitu chochote cha utambulisho wa smart hata wakisema na hiyo imefichwa ki-electrinically nayo ni uongo na wizi mtupu tatu hologram waliyoweka ni ya kitoto sana ni rahisi sana kuwa faked,kina expire date,hakielezi utambulsiho wa makazi.

makubwa????

sign zetu ziko wapi??
 
Mkuu unajua nini kuhusu postcode??
Ni kweli kabisa hiki ni feki, kile cha kupiga kura kilikuwa kinafaa sana, kwa sababu kilikuwa kinamfanya mtu atambulike mpaka anapoishi kirahisi unaweza kumpata hata muhalifu. Ni sawa kabisa Bank na taasisi nyingine kukikataa.
 
Hii nchi inachezea hela zetu za kodi;
- Kitambulisho cha kupigia kura cha zamani eti hakitumiki tena;
- Kitambulisho cha taifa, sijui nacho ni feki;
- Kitambulisho kipya cha kupigia kura.

Hivi nyie wanasheria mliobobea mnawezaje kukaa kimya
na kuangalia upotevu mkubwa kama huu wa pesa
za walipa kodi.

Wanasheria gani unazungumzia?akina Mkono?akina Werema?Shivji?iulize Tanesco na BOT,na Warioba!poleni watz.Mwenyezi Mungu awajaalie "wepesi" katika vichwa vyenu na "uzito" katika matendo yenu,inshallah,inshallah,allah yisfik.
 
Wanasheria gani unazungumzia?akina Mkono?akina Werema?Shivji?iulize Tanesco na BOT,na Warioba!poleni watz.Mwenyezi Mungu awajaalie "wepesi" katika vichwa vyenu na "uzito" katika matendo yenu,inshallah,inshallah,allah yisfik.

we ni mkenya ndugu?
 
Wanasheria gani unazungumzia?akina Mkono?akina Werema?Shivji?iulize Tanesco na BOT,na Warioba!poleni watz.Mwenyezi Mungu awajaalie "wepesi" katika vichwa vyenu na "uzito" katika matendo yenu,inshallah,inshallah,allah yisfik.
kuna wanashria wa aina mbili, wanaojua sheriaa na wanaomjua jaji/hakimu

those who knows the laws and those who knows the judges
 
Back
Top Bottom