MR. MORRIS T. J.
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 1,167
- 403
halafu hiyo expiry date ina maana gani? Kwamba ikifika hiyo tarehe mwenye kitambulisho atakuwa amebadilika au?
ikifika tarehe hiyo ya expire date ulowekewa ndo siku yako ya kufa hvy na kitambulisho chako kitakuwa kime expire. Wamefanya vzr kutuwekea na tarehe ya kufa kwetu.hvy ikikaribia tarehe ya kuexpire date uza mali ponda raha kisha tubu dhambi kisha moja kwa moja peponi.