mkemwemaissa
Member
- Jan 8, 2015
- 29
- 9
Kitambulisho feki hichoooo
Mtoa thread tunaomba aweke huo muhtasari wa BoT humu jamvini kwa sababu taarifa yake ni dhahiri kwamba ni ya kupika na hana lengo zuri na Vitabulisho vya Taifa ambavyo vimeleta maendeleo makubwa ya uchumi na kuimarisha usalama kwenye nchi zenye Vitambulisho. Huu ni upotoshaji.
Sasa siuwambie BoT wavitambue....? kwa nini ccm na serikali hawajashirikisha wadau ktk design ya vitambulisho hivyo?
JK alichukua id hii wa kwanza...nitashangaa kama mapungufu haya hakuyatambua hata wasaidizi wake. The day is nearby the corner! tumechoka.
Mkuu mi sijawai kuona hizo ID,je zina chipset,je ni taasisi ngapi zenye machine za ku-capture data za kwenye chipset.je ni kwa kiwango gani BOT na wengine hawakuona hilo?
Benki kuu ya Tanzania imetoa muhtasari wa kutokutambua vitambulisho vya taifa kwa kuwa vina mapungufu makubwa kama kutokuwa na date of issue nk.... na hivyo kutkufaa kwenye matumizi yeyote ya kibenk ikiwemo kufungua account.....
Taarifa zaidi zitawajia..
Huu ni mwendelezo tu wa namna tunavyokurupuka kama taifa kufanya maamuzi ya zima moto kweye mambo ya msingi...... naangalia namna tunavyoandaa vitambulisho vya kuipiga kura, katiba mpya , Bara bara za lami, shule za kata, umeme nk.....
Unaweza kueleza walau kwa kifupi jinsi vitambulisho hivyo vilivyosaidia kuleta maendeleao makubwa ya uchumi? Ni watanzania wangapi wanavyo hivyo vitambulisho compared with population yetu? Tusaidie kidogo kwa ufafanuzi mfupi.
Taarifa nyingi zipo kwenye chipset. Mnatembea na taarifa bila nyie kujua. Kwenye nchi za wenzetu wanaopenda kujua mambo badala ya kulalamika kuna ID zenye Jina tu. ubadilike jamani.
Usajili na Utoaji wa Vitambulisho vya Taifa ninavyofahamu unakwenda kwa awamu, wamegawa IDs Zanzibar yote, Dar na Pwani. Pia nasikia wamesajili zaidi ya mikoa sita, tuvute subira watakamilisha nchi nzima na matunda yake tutayaona kama vile kurahisisha kupata mitaji kwenye taasisi za fedha, kuongeza mawanda ya mapato ya Serikali, kupunguza wafanyakazi hewa......
Afadhali umeweka hii mada.Kwani benki nyingi ambazo nimeshaenda kupokea fedha,wamekuwa wanagomea national ID.Lakini wanakubali Passport na voting ID.Eti ukiwauliza wanakuambia haina segniture ya mmiliki.This country is,for sure,total mess.Nimeangalia za Uganda na Rwanda zote zina signature ya mmiliki.Why Tanzania?
BOT Kumejaa watoto wa vigogo tu. Wengi hawana uwezo wa kazi ni ufisadi kwenda mbele. Wangewasiliana na NIDA kwani na wao ni chombo cha Serikali. Kutotambua ID hizo kwa kuwa hawaoni tarehe juu ya kitambulisho ni umburuala uliopitiliza. Kama suala la kusoma Chipset mashine zake ni bei kiasi gani kushindikana kuzinunua???.
Tatizo lako unabisa kwa mazoea,au nyie ndio wale waliofaidi kupitia this shoddy deal?
kitambulisho hakina date of issue,hakuna holders signature do you call that national I'd?
Ebu kuwa sorbet kidogo,hivi vitambulisho wamekurupuka vina mapungufu mengi Sana,though Mimi hao NIDA hawajafika mkoani kwangu lakini Misha shuhudia jamaa wawili wanapigwa chino na hizi IDs,yaani mwenye voter registration card au leseni ya udereva anatambulika zaidi.penye ukweli tuseme ukweli ebu acha ushabiki ndugu.
Benki kuu ya Tanzania imetoa muhtasari wa kutokutambua vitambulisho vya taifa kwa kuwa vina mapungufu makubwa kama kutokuwa na date of issue nk.... na hivyo kutkufaa kwenye matumizi yeyote ya kibenk ikiwemo kufungua account.....
Taarifa zaidi zitawajia..
Huu ni mwendelezo tu wa namna tunavyokurupuka kama taifa kufanya maamuzi ya zima moto kweye mambo ya msingi...... naangalia namna tunavyoandaa vitambulisho vya kuipiga kura, katiba mpya , Bara bara za lami, shule za kata, umeme nk.....
muhstasari autoe wapi wakati ni uongo????Mtoa thread tunaomba aweke huo muhtasari wa BoT humu jamvini kwa sababu taarifa yake ni dhahiri kwamba ni ya kupika na hana lengo zuri na Vitabulisho vya Taifa ambavyo vimeleta maendeleo makubwa ya uchumi na kuimarisha usalama kwenye nchi zenye Vitambulisho. Huu ni upotoshaji.
Achana naye ana hangover zake..Hivi ndivyo vitu vilivyo kwenye national ID yetu.
JINA LA KWANZA:
MAJINA YA KATI:
JINA LA MWISHO:
JINSIA:
MWISHO WA MATUMIZI:
I don't know benki zinatakana nini cha zaidi,apart from hizi taarifa.