LorenzoA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 5,889
- 17,753
Benki kuu ya Tanzania imetoa muhtasari wa kutokutambua vitambulisho vya taifa kwa kuwa vina mapungufu makubwa kama kutokuwa na date of issue , signature of the ID holder, Place of issue etc etc.... na hivyo kutkufaa kwenye matumizi yeyote ya kibenk ikiwemo kufungua account na kufanya transaction zozote zile za kibenk.
Taarifa zaidi zitawajia..
Huu ni mwendelezo tu wa namna tunavyokurupuka kama taifa kufanya maamuzi ya zima moto kweye mambo ya msingi...... naangalia namna tunavyoandaa vitambulisho vya kuipiga kura, katiba mpya , Bara bara za lami, shule za kata, umeme nk.....
Taarifa zaidi zitawajia..
Huu ni mwendelezo tu wa namna tunavyokurupuka kama taifa kufanya maamuzi ya zima moto kweye mambo ya msingi...... naangalia namna tunavyoandaa vitambulisho vya kuipiga kura, katiba mpya , Bara bara za lami, shule za kata, umeme nk.....