Waulize NIDA ili iweje? unategemea hao NIDA wako watasema ni kweli havifai? Kuna watu wametoa ushuhuda hapo juu jinsi walivyokwamishwa na hivi vitambulisho vya NIDA. Mimi mwenyewe nilijua baada ya hivi vitambulisho kutoka basi mambo ya kuwa na 'mzigo' wa vitambulisho kwenye pochi yatakuwa yameisha kumbe ndiyo yamaeongezeka,nilishawahi pia kukataliwa bank kutumia hicho kitambulisho cha hao NIDA wako na sikuwa mbishi kwa sababu ni kweli havina sahihi. Taarifa zilizopo ni 1.Namba ya kitambulisho 2. Jina la mwenye kitambulisho (majina matatu) 2. Jinsi (gender) 3. Mwisho wa matumizi (expiry date)
kuna expire date kama 2024Mwisho matumizi ni tarehe ya kifo cha mhusika.
Taarifa nyingi zipo kwenye chipset. Mnatembea na taarifa bila nyie kujua. Kwenye nchi za wenzetu wanaopenda kujua mambo badala ya kulalamika kuna ID zenye Jina tu. ubadilike jamani.
Mkuu mi sijawai kuona hizo ID,je zina chipset,je ni taasisi ngapi zenye machine za ku-capture data za kwenye chipset.je ni kwa kiwango gani BOT na wengine hawakuona hilo?Taarifa nyingi zipo kwenye chipset. Mnatembea na taarifa bila nyie kujua. Kwenye nchi za wenzetu wanaopenda kujua mambo badala ya kulalamika kuna ID zenye Jina tu. ubadilike jamani.
Ccm katika utekelezaji wake wa ukanjanja
CCM ipigwe chiniWa TZ kwa kulalamika kwa vitu wasivyovijua ni hodari. Uliza ujibiwe na NIDA.
Kisichokuwa na sifa hakiwezi kupewa sifa. Aje msemaji wa serikali atueleze vizuri
Mwisho matumizi ni tarehe ya kifo cha mhusika.
Benki kuu ya Tanzania imetoa muhtasari wa kutokutambua vitambulisho vya taifa kwa kuwa vina mapungufu makubwa kama kutokuwa na date of issue nk.... na hivyo kutkufaa kwenye matumizi yeyote ya kibenk ikiwemo kufungua account.....
Taarifa zaidi zitawajia..
Huu ni mwendelezo tu wa namna tunavyokurupuka kama taifa kufanya maamuzi ya zima moto kweye mambo ya msingi...... naangalia namna tunavyoandaa vitambulisho vya kuipiga kura, katiba mpya , Bara bara za lami, shule za kata, umeme nk.....
Kwa hiyo hata JK ambaye ndiye alikuwa mtu wa kwanza kupewa hicho kitambulisho hakuliona hilo au mapungufu hayo mpaka dakika hii?? Kweli hii inatokea tu Tanzania.