BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,230
Power ya 10% hiyo
Ndugu, mtu akiona signature anaweza kughushi lakini ikiwa ndani ya kitamblisho na ukatumia alama za vidole kufanya utambuzi huwezi kughushi. Tubadilike na twende na teknolojia. NIDA wako mbali na ndo maana hivi karibuni wamekuwa washindi wa kwanza Afrika kwa teknolojia wanayotumia ktk Vitambulisho vya Taifa.
Achana naye ana hangover zake..
angalia national ID ya NiLuna URL]http://www.sott.net/image/s7/140030/full/New_Nigeria_Identity_Card_powe.jpg[/URL]
Only in Bongo ....Nchi yangu Tanzania, wakati hii concept ya Vitambulisho vya Taifa unaanza tuliambiwa kuwa hiki kitambulisho kitakuwa mwarobaini wa utitiri wa vitambulisho....Ukweli Umedhiri...ID haina date of issue ila kina Date of expire..:rockon:
Hivi NIDA na NEC isingikuwa sawa sawa kushare PLatform moja(kupunguza gharama na kuokoa muda wa wananchi) kama taarifa zinatotakiwa zinaweza kuwa filtered kukidhi mahitaji ya aina ya Kitambusho?
BVR wanazotumia NIDA na NEC zina tofauti?>naomba kuelimishwa!:eyebrows:
Waulize NIDA ili iweje? unategemea hao NIDA wako watasema ni kweli havifai? Kuna watu wametoa ushuhuda hapo juu jinsi walivyokwamishwa na hivi vitambulisho vya NIDA. Mimi mwenyewe nilijua baada ya hivi vitambulisho kutoka basi mambo ya kuwa na 'mzigo' wa vitambulisho kwenye pochi yatakuwa yameisha kumbe ndiyo yamaeongezeka,nilishawahi pia kukataliwa bank kutumia hicho kitambulisho cha hao NIDA wako na sikuwa mbishi kwa sababu ni kweli havina sahihi. Taarifa zilizopo ni 1.Namba ya kitambulisho 2. Jina la mwenye kitambulisho (majina matatu) 2. Jinsi (gender) 3. Mwisho wa matumizi (expiry date)
Viongozi wa taifa hili kuna kila dalili kuwa huwa wanatumia kile kijiti cha arusha........
Weye unatumia cha mbeya au!
Na wewe umeandika maujinga "date of issue" is not a key information on identication of a person. But ATM Cards yes.... National ID are there to identify a person not to identify a card.
leo hii benki zinakubali driving licenses, ID ya mfanyakaZi, kitambulisho uchwara cha mpiga kura... Barua ya Mtendaji wa mtaa, Eric Ati wakatae National ID cards zenye a lot of information than any of the above!
hiyo sio ATM card au voucher cards hizo ndio dates za issue na expire ni Muhimu sana.
#Facts today the only ID Card contain a lot of information and electronically it is national ID card....date of issue may still be inside the data but it is just not printed on the card...due to space and the way ministry of home affairs decide which info to be printed on the card.
below is national ID for
Nigeria http://www.sott.net/image/s7/140030/full/New_Nigeria_Identity_Card_powe.jpg
south Africa ID makeover | YOU
USA
![]()
usually if you need more information from the same card you can buy card reader to read more information from the cards that are not printed on the card.
Chief kabla hujapanick hata unajua kitambulisho kinabeba nn?? Unakumbuka taarifa ulizojaza? Unafikiri walichukua ili kukuweka instergram?? For ur information kile kitambulisho kina smart chip , ambazo zinasaidia kubeba taarifa zako zote sasa NIDA ndo inawaamsha wengine wawe na elctronic machine za kuswap ile kadi watakuta mpaka viambatanisho
Thanks mdau.Ningeomba hao wanaobisha waangalie hiyo ID ya Nigeria kama kielezo.Afu kuna mtu anadaie eti our ID technology is the bestest in Africa.Ina chip kabisa.Afu kuna mdau anatuambia zetu zina Chip.au hii niliopewa
ni ghushi?kwani hiyo chip siioni.Alafu mbona hiyo nigeria ina sahihi ya mmiliki.Yani bongo full maigizo.10% inalitafuna sana taifa.Ndo maana sikushangaa pale ambapo taasisi mbili za serikali zilipotunishiana vifua kuhusu hii ishu.NIDA na NEC.Nilijua tuu something is smelling fish here.
Mtoa hoja ndiye msemaji wa BoT? kama ndiy atupe ripoti kamili na kama siye atupe right source ya hii habari. Asikurupuke na kudanganya watu. Suala la Vitambulisho vya Taifa si siasa na hafai kulihusisha na siasa, hapa unazungumzia utaifa wa watu. Sidhani kama mtoa hoja ni raia na Mzalendo wa Tanzania.
Uzembe wenu tu!Taarifa nyingi zipo kwenye chipset. Mnatembea na taarifa bila nyie kujua. Kwenye nchi za wenzetu wanaopenda kujua mambo badala ya kulalamika kuna ID zenye Jina tu. ubadilike jamani.
Tunaotumia majina manne si ndio tutakataliwa tutaambiwa acha moja, mbona kile sample cha JK kimeandikwa majina yote matatuVile vya taifa hata sahihi havina
Hivi vya NEC navyo Middle name wameweka initial Bank wanasumbua, wanataka iwe full name pale kati
Good gooder goodest, difficult difficulter difficultestBTW jifunze kale ka-wimbo ka darasa la kwanza ka: good, better, best.... good, better, best.. kabla hujavunja watu mbavu na bestest
Kwanini mpaka wawaamshe wakati wapo ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kilichotakiwa ni wapewe mwongozo wa kwenda sambamba na mabadiliko ya kitaifa, kabla ya kuleta si wangeangalia pia namna ya ku-link na taasisi zingine mkuu au hapa unaonaje mkuu. Mie naona mpaka kinatoka lazima kitakuwa na matumizi yake na moja ya matumizi ni hayo ya kibenki kwa kuwa ndicho chenye taarifa zako za msingi hata ukisepa ni rahisi kutambuaChief kabla hujapanick hata unajua kitambulisho kinabeba nn?? Unakumbuka taarifa ulizojaza? Unafikiri walichukua ili kukuweka instergram?? For ur information kile kitambulisho kina smart chip , ambazo zinasaidia kubeba taarifa zako zote sasa NIDA ndo inawaamsha wengine wawe na elctronic machine za kuswap ile kadi watakuta mpaka viambatanisho
kitambulisho cha taifa...
ipo tarehe ya kuzaliwa ambayo inaonyesha mwanzo wa utaifa wa mwenye kitambulisho.
Chief kabla hujapanick hata unajua kitambulisho kinabeba nn?? Unakumbuka taarifa ulizojaza? Unafikiri walichukua ili kukuweka instergram?? For ur information kile kitambulisho kina smart chip , ambazo zinasaidia kubeba taarifa zako zote sasa NIDA ndo inawaamsha wengine wawe na elctronic machine za kuswap ile kadi watakuta mpaka viambatanisho
BTW jifunze kale ka-wimbo ka darasa la kwanza ka: good, better, best.... good, better, best.. kabla hujavunja watu mbavu na bestest