Vitambulisho vya Taifa (NIDA) havitambuliwi na BOT

Vitambulisho vya Taifa (NIDA) havitambuliwi na BOT

Nimeweka vitambulisho hivyo kuonyesha kasoro mbalimbali ambazo zinasababisha kutotambulika, ndio maana unaona vitambulisho vya nchi za kiafrika vina makosa kadhaa mengi tofauti na mabara mengine, hii ni kutokana na nchi za kiafrika ndio zinaanza kutumia mfumo huo, na tatizo hawakuwa makini kuangalia vitambulisho vya nchi nyingine zenye uzoefu wa muda mrefu katika kutumia vitambulisho vya kitaifa. Lengo ungejifunza badala ya kuendelea kubisha kitu ambacho kipo wazi. Angalia hoja ya msingi kitambulisho kina muda maalumu si kwa maisha kama ilivyo group ya damu yako. Unabadilikabadilika tokana na kuzaliwa, kukua, kuzeeka hadi kuwa kikongwe huwezi kuwa na picha ile ile ya teenage. Makazi hubadilika, occupation hubadilika, nk. Wengine hufa bila kupeleka taarifa kwenye mamlaka husika za msajili wa vizazi na vifo, hivyo mpango huo ni kuhakiki na kuthibiti idadi ya wenye vitambulisho.

Tukubali makosa yaliyomo kwenye vitambuliso hivyo na yasahihishwe ili wananchi wapate vitambulisho vilivyokamilika si mradi kuwa na kadi ambayo haikupi utambulisho unaokubalika. Hata cadi za bank zitumikazo ATM zina muda maalumu, Driving lisence ina muda maalum, Passport ina muda maalum, kitambulisho cha mpiga kura kina muda maalum, nk. Hoja yako ni nini sasa kujenga utetezi wako mdau?

Kama haujaielewa hoja yangu mpaka sasa hivi, basi hautakaa unielewe. Amini unachokiamini na mimi nitaendelea kuamini ninachokiamini. Nimetoa mifano ya nchi ambazo vitambulisho vya uraia havina expiry date na nikaeleza ni kwa nini kitambulisho cha utaifa hakipashwi kuwa na muda wa kwisha kutumika, bado hunielewi. Shikiria unachokiamini.

Tiba
 
Kama haujaielewa hoja yangu mpaka sasa hivi, basi hautakaa unielewe. Amini unachokiamini na mimi nitaendelea kuamini ninachokiamini. Nimetoa mifano ya nchi ambazo vitambulisho vya uraia havina expiry date na nikaeleza ni kwa nini kitambulisho cha utaifa hakipashwi kuwa na muda wa kwisha kutumika, bado hunielewi. Shikiria unachokiamini.

Tiba

Suala si wewe uamini unacho amani na mimi vivyo hivyo tutaonekana watu tusiopevuka kifikra katika kundi la great thinker. Mada imetokana na mdau kukataliwa huduma sababu ya mapungufu yaliyomo kwenye vitambulisho hivyo, hoja hiyo ni halali kukataliwa sababu wengi humu wanavitambulisho kadhaa, nilishawahi kukaa nje ya nchi na kitambulisho cha mkazi ningali nacho, nikilinganisha na hiki nashangaa walioandaa wasivyokuwa makini katika mambo ya msingi.

Ndio maana nilisema kwa nini kuwe na idara nyingine, kwa nini kazi hiyo wasiachiwe Revenue au idara inayoshughulika na passport wasingesahau hayo. Endelea na msimamo wako na siku utakapokosa huduma sababu ya mapungufu katika kitambulisho hicho ndipo utaelewa kwa nini liamua kubakingangali hivyo.
 
Suala si wewe uamini unacho amani na mimi vivyo hivyo tutaonekana watu tusiopevuka kifikra katika kundi la great thinker. Mada imetokana na mdau kukataliwa huduma sababu ya mapungufu yaliyomo kwenye vitambulisho hivyo, hoja hiyo ni halali kukataliwa sababu wengi humu wanavitambulisho kadhaa, nilishawahi kukaa nje ya nchi na kitambulisho cha mkazi ningali nacho, nikilinganisha na hiki nashangaa walioandaa wasivyokuwa makini katika mambo ya msingi.

Ndio maana nilisema kwa nini kuwe na idara nyingine, kwa nini kazi hiyo wasiachiwe Revenue au idara inayoshughulika na passport wasingesahau hayo. Endelea na msimamo wako na siku utakapokosa huduma sababu ya mapungufu katika kitambulisho hicho ndipo utaelewa kwa nini liamua kubakingangali hivyo.

Mkuu hicho kitambulisho sina na wala sina mpango wa kukitafuta kwa siku za hivi karibuni. Mpaka siku nitakayoamua kuwa nacho, hayo mapungufu yatakuwa yameisha fanyiwa kazi.

Tiba
 
hivi wanaopanga mambo haya wanajisikiaje kuandaa uozo every time?
 
Serikali imetumia pesa zetu nyingi tuu kufanya huu mchakato, asee imefika wakati tuweke woga pembeni na tupinge huu usanii tunaofanyiwa kila leo na serikali ya kijani, Hapa kuna harufu ya upigaji. Nadhan mchakato ungefanywa kiumakini hikihiki kitambulisho kingetumika hata kupigia kura. This is pathetic
 
Back
Top Bottom