MASHANJARA
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 379
- 500
Pesa za machinga aulizwe Doto James. Wamachinga waondolewe wote mabarabarani wajipange katika biashara rasmi kama watanzania wengine. Uchafu umejaa mno mpaka unajiuliza hivi Dar na Arusha wanastahili kuwa majiji?Miaka 60 baada ya uhuru bado ni sifa mtu kuitwa "mnyonge"?
Au ilikuwa lugha ya kutengeneza kichaka cha upigaji na kuunda kundi au tabaka kwa maslahi ya kisiasa kwa mwendazake? Tunajenga lami na mitaro kwa ajili ya kuwekea vibanda vya nyanya na mitumba?
Waondoke wote waende wanakojua na kila mtu afuate sheria. Mkiwaacha kesho mtakuwa na kundi la bodaboda, daladala, panya, daladala, nk nk na ni hatari kwetu sote kama nchi.
Au ilikuwa lugha ya kutengeneza kichaka cha upigaji na kuunda kundi au tabaka kwa maslahi ya kisiasa kwa mwendazake? Tunajenga lami na mitaro kwa ajili ya kuwekea vibanda vya nyanya na mitumba?
Waondoke wote waende wanakojua na kila mtu afuate sheria. Mkiwaacha kesho mtakuwa na kundi la bodaboda, daladala, panya, daladala, nk nk na ni hatari kwetu sote kama nchi.