Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Wakuu Wamachinga wa soko la Samunge maarufu kama NMC jijini Arusha wameieleza kilio chao kwa mbunge Mrisho Gambo cha kulipa ushuru wa shilingi 50 kila siku huku wanaowatoza wakiambiwa kuwa vitambulisho vya machinga vimezikwa na hayati Rais Dkt John Magufuli huko Chato.
Machinga wa soko hilo wameyasema hayo Mbunge huyo alipowatembelea na kusikiliza kero zinazowakabili ambapo wakielezea kuwa kero kubwa ni ushuru wanaotozwa kila siku na wakiulizia vitambulisho vya machinga walivyokuwa wanatumia awali wanaambiwa vimezikwa Chato.
Je Hii Sio Dharau Kwa Hayati Magufuli? Kwa Nini Huyu Mchukua Ushuru ametumia Kauli Hii?
View attachment 1934903
Machinga wa soko hilo wameyasema hayo Mbunge huyo alipowatembelea na kusikiliza kero zinazowakabili ambapo wakielezea kuwa kero kubwa ni ushuru wanaotozwa kila siku na wakiulizia vitambulisho vya machinga walivyokuwa wanatumia awali wanaambiwa vimezikwa Chato.
Je Hii Sio Dharau Kwa Hayati Magufuli? Kwa Nini Huyu Mchukua Ushuru ametumia Kauli Hii?
View attachment 1934903