Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
wakubwa, hivi vitambulisho vya utaifa (na vya ukaazi kwa wale wasio raia) mwisho wake umefikia wapi? manake tunaona nchi zingine wameshafanya hivyo, na inakuwa rahisi sana hata kukamata wezi kwasababu kile kitambulisho kinakuwa kimewekwa kwenye database ya mtandao wa selikali hivyo ukiingiza namba yako popote pale iwe bank,iwe kituo cha polisi, iwe popote pale nchini unatambulika wewe ni nani...hii inasaidia kukamata wezi na wahalifu wengine na kucontrol watu waishi kwa usalama. sasa hapa tz wanatuletea vitambulisho vya aina gani na leseni za udereva za aina gani, tunataka ziwe na hadhi zaidi ya passport. kama Masha unanisikia hapa nataka ufanye hivyo haraka sana, hatutaki kuwa nyuma tu kila mwaka...wasomali na wakenya wamejaa hapa pamoja na wanyarwanda hadi wanagombea uongozi, kuna siku tutakuwa na rais msomali hapahapa tz...Mungu ibariki Tanzania.