howardlite
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 234
- 368
Kumekuwa na usumbufu usio na ulazima kwa baadhi yetu ambao tumewahi kukutana nao,inapotokea unatakiwa vyeti kwa lengo fulani mfano,fao la kustaafu,fao la uzazi,ajira nk.
Usumbufu unaojitokeza ni pale majina yako yanapotofautiana kwenye vyeti na nyaraka mbalimbali.
Unakuta mtu unaitwa John Alfred Mhina.
Unaandikishwa shule kwa jina hilo,unafanya uhakiki,lakini cheti cha O'level na A'level kinakuja na majina mawili la kwanza na la mwisho.
Ukienda chuo mfano UD transcript inakuja na majina yote matatu,cheti kinakuja na majina mawili.
Mwingine O'level na A'level majina matatu, chuo yanakuja mawili.
Mwingine O'level na A'level majina mawili chuo wanaweka initial katikati.
Kwangu ndio hatari, majina mawili mpaka chuo,cheti cha uongozi majina matatu,kazini documents za ajira sijui kuthibitishwa na vitu gani majina matatu nyingine mawili, nyingine initial katikati,nikasomea kitu kingine- airport yakaja majina mawili kwenye vyeti,ikaja leseni majina matatu,leseni ya udereva majina matatu,vyeti vya courses za kazini kwenye madini majina matatu.
Siku ikaja nimetakiwa vyeti,dah nikatakiwa kwenda kuapa,nikahesabu ni usumbufu sio kwangu tu lakini ni watu kadhaa wanapitia kadhia hii.
Kwanini tusiwe na mfumo rasmi wa majina kama ni matatu basi iwe hivyo kwa level zote za masomo kazi na vingine mpaka unakufa?
Hizi mambo za wanasheria na mahakama kula pesa za kuapa si kitu bali usumbufu na ni kosa la mamlaka zinazohusika na elimu,ajira nk.
Nyie mamlaka husika japo hili ni dogo lakini linaleta usumbufu.
Sasa mtu majina yako yanabadilishwa utafikiri unakwepa kodi au ni vyeti feki.
Na hili mkaliangalie.
Usumbufu unaojitokeza ni pale majina yako yanapotofautiana kwenye vyeti na nyaraka mbalimbali.
Unakuta mtu unaitwa John Alfred Mhina.
Unaandikishwa shule kwa jina hilo,unafanya uhakiki,lakini cheti cha O'level na A'level kinakuja na majina mawili la kwanza na la mwisho.
Ukienda chuo mfano UD transcript inakuja na majina yote matatu,cheti kinakuja na majina mawili.
Mwingine O'level na A'level majina matatu, chuo yanakuja mawili.
Mwingine O'level na A'level majina mawili chuo wanaweka initial katikati.
Kwangu ndio hatari, majina mawili mpaka chuo,cheti cha uongozi majina matatu,kazini documents za ajira sijui kuthibitishwa na vitu gani majina matatu nyingine mawili, nyingine initial katikati,nikasomea kitu kingine- airport yakaja majina mawili kwenye vyeti,ikaja leseni majina matatu,leseni ya udereva majina matatu,vyeti vya courses za kazini kwenye madini majina matatu.
Siku ikaja nimetakiwa vyeti,dah nikatakiwa kwenda kuapa,nikahesabu ni usumbufu sio kwangu tu lakini ni watu kadhaa wanapitia kadhia hii.
Kwanini tusiwe na mfumo rasmi wa majina kama ni matatu basi iwe hivyo kwa level zote za masomo kazi na vingine mpaka unakufa?
Hizi mambo za wanasheria na mahakama kula pesa za kuapa si kitu bali usumbufu na ni kosa la mamlaka zinazohusika na elimu,ajira nk.
Nyie mamlaka husika japo hili ni dogo lakini linaleta usumbufu.
Sasa mtu majina yako yanabadilishwa utafikiri unakwepa kodi au ni vyeti feki.
Na hili mkaliangalie.