Duniahadaa
JF-Expert Member
- Oct 16, 2017
- 336
- 677
- Thread starter
-
- #21
Hata bendera kwenye hiyo nembo hapo si ya Tanzania
Mkuu weka andiko lote hadharani ili tusikusumbue, hakuna sababu ya kuficha, sasa kila mtu akiku PM utafanya kazi nyingine kweli
Nembo ina bendera ya Tanganyika sio TanzaniaLabda kwenye bendera hapo ndo wameweka light blue lakini nembo ya taifa sijaona dosari labda nioneshe
Ndalichako kilichomuweka pale huenda ikawa ni imani yake na si competenceAngalia vizuri View attachment 761582
nilikua sijala mkuu,sasa hv nimeshiba nimeonaNembo ya taifa huwa ina bdendera ya nchi gani? je huo mwenge huwa una rings? Hebu tafuta nembo ya taifa halafu linganisha na hiyo. Halafu kwenye bendera pale nyuma ya mtoto anayepiga kengele hiyo bendera katikati huwa kuna rangi gani, ni njano au nyeusi?
Na ndio mikakati yaoIli mtu umtawale vizuri yafaa umpe elimu ya hovyohovyo.
Kwenye nembo ya Taifa ndani kuna jembe, nyundo na alama ya mlima Kilimanjaro.Labda kwenye bendera hapo ndo wameweka light blue lakini nembo ya taifa sijaona dosari labda nioneshe
Labda waandaji siyo watanzaniaNembo ya taifa huwa ina bdendera ya nchi gani? je huo mwenge huwa una rings? Hebu tafuta nembo ya taifa halafu linganisha na hiyo. Halafu kwenye bendera pale nyuma ya mtoto anayepiga kengele hiyo bendera katikati huwa kuna rangi gani, ni njano au nyeusi?
Na nembo ya taifa je?
Unaujua nembo ya Taifa?Labda kwenye bendera hapo ndo wameweka light blue lakini nembo ya taifa sijaona dosari labda nioneshe