Vitabu vya Ndalichako na TIE "vilivyoboreshwa" ni zaidi ya janga! Wabunge kusuka au kunyoa

Hata bendera kwenye hiyo nembo hapo si ya Tanzania
Mkuu weka andiko lote hadharani ili tusikusumbue, hakuna sababu ya kuficha, sasa kila mtu akiku PM utafanya kazi nyingine kweli

Hiyo hapo nime upload nyingine, ila kama hujui hesabu za lower classes usijisumbue ku comment.
 

Attachments

  • TIE WANATISHA 3.png
    43.2 KB · Views: 54
nilikua sijala mkuu,sasa hv nimeshiba nimeona
 
Kwa kweli hii serikali ya CCM inaipeleka elimu yetu jehanamu. Ni lini hasa serikali hii itaacha kucheza kamari na maisha ya watu?
 
Labda waandaji siyo watanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…