Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,811
- 6,780
Naumia sana kusikia darasa lenye wanafunzi 100 wa darasa saba kwamba wamefaulu wote, Jambo hili huwa linaniumiza mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkosoaji nae ...Bendera anaiita ramani......Kuna andiko limeandaliwa na wadau linalochambua vituko (sio dosari bali ni janga) vilivyopo katika vitabu vinavyodaiwa kuboreshwa na TIE baada ya vile vya awali kuchomwa moto.
Dosari na vituko hivyo havielezeki kabisa kwa lugha ya kawaida. Ni janga, mizaha na vichekesho ambavyo vinaonyesha kuwa wenye dhamana ya kuandaa vitabu wanafanya mizaha au hawawezi.
Baadhi ya makosa ni kufundisha alama za taifa ( kama bendera na nembo) ambazo si za Tanzania na kudai ni za Tanzania.
Kwa mujibu wa taratibu za kupitisha vitabu, Waziri ndIye mtu wa mwisho, je hakuona haya?
Siku ya leo na kesho kwa Wabunge wanaojali mustakabali wa Elimu naamnini Ndalichako watamtundika msalabani.
NB: Atakayetaka andiko lote ani- pm tafadhali.
Unaumia tena...!!?Naumia sana kusikia darasa lenye wanafunzi 100 wa darasa saba kwamba wamefaulu wote, Jambo hili huwa linaniumiza mno.
Punguza ushamba,ukale,roho mbaya na husda.Naumia sana kusikia darasa lenye wanafunzi 100 wa darasa saba kwamba wamefaulu wote, Jambo hili huwa linaniumiza mno.
Ndiyo, Naumia!Unaumia tena...!!?
Kwahiyo ulitaka wafeli...
sasa kwanini wameuondoa.Nitaendelea kuukubali mtaala wa elimu wa kuanzia miaka ya 1970 mpaka mwaka 2009.
Hiki kitabu ni cha drs la ngapi?Yani nimejijuta nachekaaaaa
kwanini?Uliyeweka hii post ukatafute kichaka mapemaaaaaa
Labda kwenye bendera hapo ndo wameweka light blue lakini nembo ya taifa sijaona dosari labda nioneshe
WAMEKANA KITABU CHENYE PICHA YA MWILI WA BINADAMU na english 3 cha Dodoma is a big city. HIKI CHA URAIA HAWAJAKIKANA NDUGU.si washakana hawavijui hivi vitabu au hujaona taarifa Kwa UMA kuvikana hivyo vitabu
Bendera ina diagonal nyeusi na bands njano sio bands nyeusi na diagonal njanoLabda kwenye bendera hapo ndo wameweka light blue lakini nembo ya taifa sijaona dosari labda nioneshe