Vitabu vya Ndalichako na TIE "vilivyoboreshwa" ni zaidi ya janga! Wabunge kusuka au kunyoa

Duniahadaa

JF-Expert Member
Oct 16, 2017
336
677
Kuna andiko limeandaliwa na wadau linalochambua vituko (sio dosari bali ni janga) vilivyopo katika vitabu vinavyodaiwa kuboreshwa na TIE baada ya vile vya awali kuchomwa moto.

Dosari na vituko hivyo havielezeki kabisa kwa lugha ya kawaida. Ni janga, mizaha na vichekesho ambavyo vinaonyesha kuwa wenye dhamana ya kuandaa vitabu wanafanya mizaha au hawawezi.

Baadhi ya makosa ni kufundisha alama za taifa ( kama bendera na nembo) ambazo si za Tanzania na kudai ni za Tanzania.

Kwa mujibu wa taratibu za kupitisha vitabu, Waziri ndIye mtu wa mwisho, je hakuona haya?
Siku ya leo na kesho kwa Wabunge wanaojali mustakabali wa Elimu naamnini Ndalichako watamtundika msalabani.

NB: Atakayetaka andiko lote ani- pm tafadhali.
 

Attachments

  • TIE WANATISHA!.png
    TIE WANATISHA!.png
    152.9 KB · Views: 120
  • TIE WANATISHA 2!.png
    TIE WANATISHA 2!.png
    59.6 KB · Views: 103
Hili janga ni kubwa kuliko tunavyofikiri na hayani matokeo ya kuweka siasa katika vitu ambavyo haviitaji siasa. ikiwa hatukujua sadamu alitawala nchi gani kwa kipindi ambacho elimu ilikuwa hambu hambu, je kipindi hiki?
ipo sikua watoto watasema baab wa taifa ni Diamond
 
Labda kwenye bendera hapo ndo wameweka light blue lakini nembo ya taifa sijaona dosari labda nioneshe

Nembo ya taifa huwa ina bdendera ya nchi gani? je huo mwenge huwa una rings? Hebu tafuta nembo ya taifa halafu linganisha na hiyo. Halafu kwenye bendera pale nyuma ya mtoto anayepiga kengele hiyo bendera katikati huwa kuna rangi gani, ni njano au nyeusi?
 
Kuna andiko limeandaliwa na wadau linalochambua vituko (sio dosari bali ni janga) vilivyopo katika vitabu vinavyodaiwa kuboreshwa na TIE baada ya vile vya awali kuchomwa moto.

Dosari na vituko hivyo havielezeki kabisa kwa lugha ya kawaida. Ni janga, mizaha na vichekesho ambavyo vinaonyesha kuwa wenye dhamana ya kuandaa vitabu wanafanya mizaha au hawawezi.

Baadhi ya makosa ni kufundisha alama za taifa ( kama bendera na nembo) ambazo si za Tanzania na kudai ni za Tanzania.

Kwa mujibu wa taratibu za kupitisha vitabu, Waziri ndIye mtu wa mwisho, je hakuona haya?
Siku ya leo na kesho kwa Wabunge wanaojali mustakabali wa Elimu naamnini Ndalichako watamtundika msalabani.

NB: Atakayetaka andiko lote ani- pm tafadhali.

Mkuu weka andiko lote hadharani ili tusikusumbue, hakuna sababu ya kuficha, sasa kila mtu akiku PM utafanya kazi nyingine kweli
 
Hata wao ndo wale wale, bendera wanaiita ramani... Tangu lini ramani INA rangi
 
Mkuu weka andiko lote hadharani ili tusikusumbue, hakuna sababu ya kuficha, sasa kila mtu akiku PM utafanya kazi nyingine kweli

Kaka ni hatari kuna watu watazimia humu na wengine wataweza kupoteza maisha kwa mshtuko, nimeona nianze na hayo ili tuanze kuzoea kwanza maana wengine hatuna hela za rambirambi.
 
Rais wetu alichoka kabla hajaapishwa!
Hakuna wanachokifanya magu na genge lake hakina mapungufu!
Uongo mwingi,kubadilisha takwimu,uzushi,no.!
TRILIOTR 1.5 Magu na genge lake wametafuna bado wanabisha!
 
Kuna andiko limeandaliwa na wadau linalochambua vituko (sio dosari bali ni janga) vilivyopo katika vitabu vinavyodaiwa kuboreshwa na TIE baada ya vile vya awali kuchomwa moto.

Dosari na vituko hivyo havielezeki kabisa kwa lugha ya kawaida. Ni janga, mizaha na vichekesho ambavyo vinaonyesha kuwa wenye dhamana ya kuandaa vitabu wanafanya mizaha au hawawezi.

Baadhi ya makosa ni kufundisha alama za taifa ( kama bendera na nembo) ambazo si za Tanzania na kudai ni za Tanzania.

Kwa mujibu wa taratibu za kupitisha vitabu, Waziri ndIye mtu wa mwisho, je hakuona haya?
Siku ya leo na kesho kwa Wabunge wanaojali mustakabali wa Elimu naamnini Ndalichako watamtundika msalabani.

NB: Atakayetaka andiko lote ani- pm tafadhali.
Hata bendera kwenye hiyo nembo hapo si ya Tanzania
 
Back
Top Bottom