King Jody
JF-Expert Member
- Oct 8, 2022
- 944
- 1,743
Vita ya Russia na Ukraine bado inaendelea au wameamua kupumzika ili kufutilia vita ya Israel na Palestina?
Hata vyombo vya habari vime-base zaidi kureport matukio ya Israel na Palestina utadhani vita ya Russia na Ukraine imeisha.
Au wanaviziana?
Mungu wa rehema awasaidie kurejesha amani kwa mataifa yenye vita ili waishi kwa amani na upendo.
Hata vyombo vya habari vime-base zaidi kureport matukio ya Israel na Palestina utadhani vita ya Russia na Ukraine imeisha.
Au wanaviziana?
Mungu wa rehema awasaidie kurejesha amani kwa mataifa yenye vita ili waishi kwa amani na upendo.