Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 14,598
- 18,419
Ha ha ha unashangaza sana:Acheni kuwadanganya hao washamba, Wahazabe na Wamasai ni aibu kwa Taifa, wanahitaji kufundishwa ustaarabu, mambo ya kunya vichakani na kujisiriba kwa majani na kulala mapangoni, kujizonga mashuka na kuvaa ngozi za wanyama ni ushamba dunia imesha ondoka huko, acheni kuwadanganya waelemisheni waje waishi nyumba bora wapige pamba wa enjoy maisha, waache kuishi kama wanyama.
Maisha mazuri sio ya mjini pekee:
Wala sio unayoyawaza wewe:
Wamasai na Wahadzabe wanaishi katika asili ya jamii na mazingira halisi yasiyo na madhara:
Kidogo kidogo watabadilika kutokana na mabadiliko ya tabia nchi na sio kuwatoa ghafla katika mazingira yao ya asili na kuwaleta mjini:
Wataishi vipi ?
Huko porini wanaishi maisha mazuri kabisa kwakuwa asili inashabihiana nao:
Na wana katiba yao
Na lugha yao inayotakiwa kulindwa:
Na Dini yao nzuri sana: