Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 11,244
- 15,063
- Thread starter
- #81
Wapepoteza ndege 8 kabla hapo tatu majuzi na tano jana moja ilikuwa drone MQ9 na huyo Pilot wao hawakuweza kumuokoa ni propoganda tu na pilot yupo mikononi mwa Iran.Akili hamna kabisa anatuka hovyo Rais anapost daraja kuvunjwa anashangilia😂
Hamn tena regine change.
Analeta mambo ya cinema anashangilia kumuokoa pailot wakati kapoteza ndege 4.
USA alichezewa game huyo Pilot aliambiwa na Iran atume message ili waje wamuokoe alipo tuma wakaja kumuokoa kumbe Iran anawasubiri akawatandika vizuri mpaa waliomba ndege za vita waje wasaidie wakaja kuokolewa na ndege ba hizo ndege za vita sababu walipokuwa wanataka kukimbia ziluanguswa ndege zao mpaa zilipo kuja ndege za vita kuwaokoa kwa hamaki wakawa wanapiga maboom hovyo hovyo kama vichaa hu ndio ukweli nimeupata kutoka mchambuzi wa siri za Middle East.
America ni muongo anacho sema usikiamini lakini anacho sema Iran wengi wanasema kiamini 💯
Ngojea nikuwekee aliye chambua habari hizo na huyu akisema huwa ni 💯 kweli
View: https://youtu.be/6C1RdonDMTU?si=iysVwCW0I5JmVGOI
Nakuzidishia na hii pia pilot hakuokolewa
View: https://youtu.be/INReKeWmdjA?si=T9zHKbU186AS6QaV