Vita kusimama muda wa siku 45

Vita kusimama muda wa siku 45

Ww mtoto mdogo ambaye unasema Tathmini na mtazamo zinakinzana.
Hiyo Nimekujibu ile hoja yako uliyosema US mafuta yamepanda bei. Kuonyesha Hata Iran yamepanda maradufu.




Ujiandikishe Memkwa dogo. Ukaondoe Ujinga.
Maneno yangu ni haya .👇👇👇👇



Wap nimebadili?.
Tangu mwanzo i stand firm kutetea Hoja zangu, hauwez niyumbisha kamwe mdogo wangu.

Vipi? Usha google kujua kuwa Tathmin na mtazamo hazikingani?.
Muda huu nina uhakika umeshaujua ujinga wako,kama vile wachangiaji wengi kwenye huu uzi walivyokuona kua huna ujualo,
Kilichobaki ni unaruka ruka tu kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,

Au una enjoy kujipitisha pitisha kwangu huku unanitingishia kalio?
 
Trump kasurrender dogo utaipata sasa Israel kabaki pekee yake na Iran Shetanyahu atakusumbua kusafisha vyoo Pampers zitakuwa nyingi sana.

Iran anasema kusimamisha vita na USA au kuongea naye mambo ya peace ni ujinga tu anacho tafuta USA ni break ili ajipange upya. Tatizo ni Pakistan ndio anawakera Iran, na Iran kasema kama ni hivyo lazima USA alipe naasirudie tena kushambulia Iran na Al Houth na Hezbullah


View: https://youtu.be/CKMt-fPmynU?si=srygi5r3fpAZyc_a

USA lazima atakuja na uwongo tu


Viongoz wa Iran wataendelea kuuliwa had pale watakaotokea Viongozi ambao watakubali maridhiano.

Na ndio Kitu US - Israel anataka.
 
Muda huu nina uhakika umeshaujua ujinga wako,kama vile wachangiaji wengi kwenye huu uzi walivyokuona kua huna ujualo,
Kilichobaki ni unaruka ruka tu kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,

Au una enjoy kujipitisha pitisha kwangu huku unanitingishia kalio?

Unazidi kujiaibisha mdogo wangu.

Kila mtu anaona,
Kujadiliana na mtu alaf ukaanza kumtukana na kumkebehi ni dhahiri hauna hoja ya kuweka mezani.

My stand is with US - Israel. Na Iran wanapigika vibaya sana.
Utake au usitake ndio uhalisia uliopo muda huu.

Kwanza najadiliana na mtu hata darasa la 7 hajamaliza. Hajui maana ya tathmin na mtazamo.
🚮🚮🚮🚮.

Nimepoteza muda wangu kijinga jinga.
 
My stand is with US-Israel Na Iran wanapigika vibaya sana.
Unaona jinsi ulivyo pimbi? nilijua tu lazima ujiingize kwenye mtego coz ya mbele unapeleka nyuma na ya nyuma unapeleka mbele,si ulisema huchangii kwa ushabiki? hivi unafikiri nilivyokwambia kua huna akili ya kumbukumbu ya unachokiongea ulifikiri nabahatisha?

Kwanza najadiliana na mtu hata darasa la 7 hajamaliza. Hajui maana ya tathmin na mtazamo.
🚮🚮🚮🚮.
Ujinga wako mwingine huu hapa,kumbe kumaliza darasa la saba kwako ndio kua na elimu sio?
Nimepoteza muda wangu kijinga jinga.
Huo muda hukuona kua unaupoteza kijinga baada ya kwenda kuchunguza comments za nyuma za uliyekua unabishana nae?
Wewe pimbi ni kilaza wa mwisho kabisa hata tukikuwahi huwezi kupona.
 
Hizi ni Siasa. Na by the End of the Day upande wa USA na Israel ndio utakuwa umeshinda.

Kumbuka lengo lao ilikuwa ni kuondoa serikal iliyopo madarakan na kuwepa puppet wao.

Wameshindwa kuondoa serikal ila wamewaua viongozi wakubwa wa Iran.

Trust Me. Kupind hiki cha mpito kikipita. Viongoz weng watakaoshika hatam watakuwa puppet wa USA . Na kufanya yale ambayo yatamnufaisha USA kiuchumi.

Ndio njia wanayofanyaga kwenye nchi zote wanazoeanda kupigana nazo vita.
Subutu! Waajemi ni tofauti sana, hawa wapo kiimani zaidi, hakuna puppet atakaepata nafasi pale.
 
Hakuna mtego ulioweka.
Huna akili hiyo. Huo mtazamo wangu tangu mwanzo nimeweka bayana. Na sio ni kiushabiki . Ni baada ya kufanya tathmini.

Hivi Ushajiuliza na kujijibu je ww unaetetea Iran, unatetea kishabiki au kwa tathmni na mtazamo wako?.

Either way, haiondoi facts kuwa uko upande mmoja.

Alaf mdogo wangu , ww niite majina yooote ujuayo. Ila haiwez kuondoa uhalisia.

wakat haya mapigano ya kesho kutwa yakitegemewa kufanyika. Unatakiwa uwepo kwenye eneo la tukio. Una mchango mdogo sana kwenye jamii. Inaonekana hata familia wanajutia kuwa na mtu kama ww. Ni aibu mdogo wangu.

Trump's Ultimatum: President Trump doubled down on his threat to bomb Iran's power plants and bridges if the Strait of Hormuz isn't reopened by Tuesday night, April 7. He referred to the upcoming day as "Power Plant Day and Bridge Day" in a profanity-laden message.
 
Tulisema nini?
Muda gani huo unaousubiri? vita inapiganwa zaidi ya mwezi sasa US + Israel dhidi ya nchi moja Iran,hilo halikushangazi bado? Super power kashindwa kufungua Hormuz,kaomba msaada Nato wakamgomea,akaamua kutuma nchi zingine ziongee na Iran,

Hebu punguza speed ili usipotee zaidi coz umesha potea tayari.
Ila wee mshikaji utakuwa mzaramo!
 
Subutu! Waajemi ni tofauti sana, hawa wapo kiimani zaidi, hakuna puppet atakaepata nafasi pale.
Yah ni ngumu sana.

Ila zile sababu zilizosababisha Vita zikaanza nying zitakuwa zimetatuliwa.

Na maridhiano ndio yatawamaliza Wairan kwasababu kwa namna moja au nyingne maridhiano meng yatawafavour Israel na US.
 
In the end, USA will win big

Sadly
Hii vita Marekani hatashinda na ni vita ngumu sana Kwa marekani.
Sababu zangu ni hizi.

Amini usiamini nyuma ya Iran Kuna nguvu kubwa mno haitakubali Irani ianguke.

-Kuna BRICS.

-Urusi,China,Korea kaskazini.
-Kushindwa Kwa Iran ni pigo kubwa kwa Urusi na china.
-wameumia sana Maduro kutekwa
-waliumia sana Assad kuangushwa.

Urusi.
-Huyu ameptata nafasi ya kulipa kisasi Kwa marekani alichomfanyia Ukraine.

-Urusi alishasema zamani kua nae atakua anatoa silaha Kali kwa maadui wa west (USA) baada ya wao kumpa Ukraine silaha Kali,Sasa kapata mtu sahihi.

China.
-Huyu ameinvest Hela nyingi Iran.
-Amepata nafasi ya kumdhoofisha USA ili atakapoenda kuikamata Taiwan asipate upinzani mkali kutoka USA.
-amepata nafasi ya kumdhoofisha USA kiuchumi na kijeshi Ali awe na amani.
-usa amekua anaichukia sana china baada ya kuona china inakaribia kiuchumi,amekua akiiwekea china vikwazo,hivyo china amepata nafasi nae ya kumuumiza USA.

Korea kaskazini
Huyu amekua akitishiwa sana na USA Kwa sababu ya makombora yake ya masafa marefu ICBM,zuio la kumiliki nyukilia analopewa Iran hata yeye anapewa hivyo hivyo.
Kwa hiyo hayuko tayari kuona Iran inaanguka kwa sababu anajua atakae fuata ni yeye.

Kwa ujumla
Ikiwa USA alishindwa kuwashinda Watalaban ambao hawakua wanasaidiwa na nchi yoyote hapa duniani,Leo atawezaje kuwashinda Wa Iran wanaopata misaada kutoka nchi zenye nguvu kabisa kijeshi duniani?

Changamoto.
Kwa mara ya kwanza baada ya Miaka mingi sana kupita Marekani anajukuta Hana mshirika kabisa katika vita hii.
NATO wamemkatalia.

Kwa mara ya kwanza Israel haikuwahi kupigwa katika ardhi yake Kwa kipigo inachopigwa safari hii au kipindi hiki.

Vita hii kwa upande wa USA na Israel haiungwi mkono na raia zaidi ya Nusu ya Wamarekani wote,EU wote na sehemu kubwa ya Dunia.
Watu sehemu kubwa ya Dunia wanaombea USA ishindwe.
Ushahidi haijawahi kutokea katika nchi yoyote duniani Majenerali zaidi ya 12 kutokubaliana na Amiro Jeshi Mkuu wao.
Hizo sio dalili nzuri.

Ushindi pekee wa USA ni kupiga bomu la nyukilia,hata hiyo Urusi na china zimetoa onyo kwa Israel au USA zisijaribu kutumia nyukilia.
 
Trump admits that US was sending weapons to the protesters and are trying to use the Kurds for ground attack on Iran:

“We sent a lot of guns to the Iranian protesters, we sent guns through the Kurds, I think the Kurds kept them.”
 
Dah!
Wa
Trump admits that US was sending weapons to the protesters and are trying to use the Kurds for ground attack on Iran:

“We sent a lot of guns to the Iranian protesters, we sent guns through the Kurds, I think the Kurds kept them.”
kurdi wahuni aisee,silaha wamepokea halafu wakatia ndani,wakanyuti kimya.
Hii Dunia ngumu sana aisee.!
 
My friend hata k
Kawasikilize maveteran wa CIA na Wanajeshi, wanakumbia baada ya hii vita Iran atakuwa too Powerful.Kama hujui hamna mistakes waliyo Iran US na Myahudi kumungamiza Khamenei matokeo yake baada ya kugawanyika,wananchi wameungana yaani mpaka hapa Iran ameshashinda. US alifanikiwa Iraq na Libya ,wananchi waligawanyika na kuichukia serikali zao kwa Propaganda za uongo, then baada ya hapo ikawa rahisi kwa wao kuingia na kushambulia kwa Iran kwa Iran wamechemka.

Kama wiki mbili zilizopita CNN walikuwa wanajadili juu ya muundo wa uongozi wa Iran, kwani pamoja na viongozi wao kuangamizwa ila Iran bado haijapotea kwenye vision yao na ndio maana ukiitizama hii vita,Iran hajataka kuomba sijui mazungumzo ya usuluhisi,ila walio anzisha ndio wanahangaika, wamejaribu kuongea na Oman,Turkey, China waongee na Iran, ila Iran kakataa.

Mfereji ule wa Hormuz unakuja kuiumiza dollars, kwani baada ya hapo watu watakuwa wanalipa kwa fedha ya Iran na Yuan,huu ndi ushindi mkubwa sana mbele ya US. Hii vita ukiwasikiliza Maveteran wa jeshi na yule mkuu kitengo cha Counterterrorism aliye jiuzulu,unakuja kugundua US alishawishiwa na Myahudi kuipiga Iran na kupewa taarifa za uongo juu ya uwezo wa kijeshi wa Iran,yaani US hata wao hawakuwa na taarifa sahihi juu ya uwezo wa Iran na wote wanaamini US hii vita yeye ndiye atakaye rusha taulo. Hata wale Mageneral kumi na mbili walio ondolewa, wanapinga US kuingiza jeshi kwenye ardhi ya Iran,kwani wanaamini kufanya hivyo ni sawa kuwafungulia geti la Jehanum wanajeshi wa US.Sasa ukiona mpaka Trump anakorofishana na Magejenerali wake na kuvurugana wao kwa wao, mpaka hapo kuna dalili kubwa hii vita US anaenda kutupa taulo.
My freind hata kwenye vita ya Iraq hao mavetarani walikuwepo na walikuwa wanatoa kauli kama hizo!

Kumbuka lengo la Israel na Usa ni kuwa na Iran isiyo na nguvu yeyote kijeshi wala kiuchumi, sasa huo u powerful utatokea wapi?

Kwa sasa wanaangamiza mifumo yao ya nukes na viwanda vya makombora na drones kwa hiyo baada ya vita ikiisha itaabidi waanze upya,!

Iran imetafutwa kwa muda mrefu sana na hii ndio nafasi wamepata hwawezi kumuacha.

Marekani wenywe walimuweka kichaa trump kwa mambo kama haya
 
Naona America kajitahidi kwa kutumia pressure kwa nchi hizi Oman, Egypt, Pakistan na Turkey na nchi za Europe wamuambie Iran dunia inapata tabu sana akubali kusimamisha vita kama 1st step ili badaye waje na solution ya maana moja wapo ikiwa nikuondolewa vikwazo Iran. Trump alianza mpaa kulia eti atatumia Nuclear Iran wala hawakujali

Bada kidogo tutasikia America anasema Iran ndio kaomba vile hahaha

Tatizo Israel wanahara debe ikiwa USA na Iran watafanya deal hapo ni kama kuwapa green light Iran waimalize Israel


View: https://youtu.be/7KfodUArUD8?si=l-v4udKxFzJNBZJ5


==========

Iran and the United States have received a plan to end hostilities that could come into effect on Monday and ‌reopen the Strait of Hormuz, a source aware of the proposals said on Monday.

A framework to end hostilities has been put together by Pakistan and exchanged with Iran and the U.S. overnight, the source said, outlining a two-tier approach with an immediate ceasefire followed by a comprehensive agreement.

"All elements need to be agreed today," the source said, adding the initial understanding would be structured as a memorandum of understanding finalised electronically through Pakistan, the sole communication channel in ⁠the talks.

Axios first reported on Sunday that the United States, Iran and regional mediators were discussing a potential 45-day ceasefire as part of a two-phase deal that could lead to a permanent end to the war, citing U.S., Israeli and regional sources.

The source told Reuters Pakistan's army chief, Field Marshal Asim Munir, has been in contact "all night long" with U.S. Vice President JD Vance, special envoy Steve Witkoff and Iranian Foreign Minister Abbas Araqchi.

Source: Reuters

Iran atumie muda huo kuingiza silaha za kisasa. Mmarekani bila sapoti ya nchi za ulaya na adui kuwekewa vikwazo hana nguvu.
 
My friend hata k

My freind hata kwenye vita ya Iraq hao mavetarani walikuwepo na walikuwa wanatoa kauli kama hizo!

Kumbuka lengo la Israel na Usa ni kuwa na Iran isiyo na nguvu yeyote kijeshi wala kiuchumi, sasa huo u powerful utatokea wapi?

Kwa sasa wanaangamiza mifumo yao ya nukes na viwanda vya makombora na drones kwa hiyo baada ya vita ikiisha itaabidi waanze upya,!

Iran imetafutwa kwa muda mrefu sana na hii ndio nafasi wamepata hwawezi kumuacha.

Marekani wenywe walimuweka kichaa trump kwa mambo kama haya
Huwezi bishana na mtu mwenye experience ever, hizo kauli walizitoa vipi wakati wao walikuwa wanapokea oder kipindi hiko? Hizi ni meza za mazungumzo na majadiliano zinaendeshwa na CNN,BBC,Al Jazeera nk kutoa mitizamo yao based on their past experience na kiongozi yoyote mwenye busara,kabla ya kufanya chochote kwenye nyanja yoyote lazima utafuta watu wenye experience kwenye nyanja hiyo,mfano vita basi wale maafisa wajuu (General) ndio wanaweza kukupa picha halisi.Sasa Trump kashatimua Mageneral zaidi ya kumi na mbili unazani kwenye hiyo vita kuna kushinda hapo? ,sababu mpaka sasa kuna msuguano wa ndani kwa ndani. Secretary of Defence, juzi kwenye kikao na Congress Gills anauliza sababu zipi zilizofanya kuwatimu hao Majenerali hana majibu.Yaani usuguane na Majenerali, then utegemee ushinde vita,maana Generals ni kama brain ya jeshi.

View: https://m.youtube.com/shorts/ZGQOsIoC7gs

Halafu mbona wanahangaika kuomba mgogoro huu utatuliwe kidiplomasia, mara Oman,Turkey, Turkey na sasa US wamenda kumuomba Pakistan.Sasa wanahangaika nini kama nia yao kuisambaratisha Iran?Yaani uwe na uwezo wa kuangamiza mifumo,ila still wewe unakimbilia kwenye kutafuta suluhu ya kidiplomasia? Hivi unajua sasa hivi Iran imeongeza mashambulizi, kuliko mwanzo? Na sasa Iran baada ya kuipiga mifumo mifumo mingi ya air defense, anarusha mabomu machache na karibia yote yanatua.Jana Tel Aviv karusha Cluster Bombs moja limepiga site kumi na tano tofauti, akarusha jingine likaenda kupiga Food Depot Haifa, bado hapo hapo kapiga Kuwait Power Plant na akapiga UAE Petrochemical plant, halafu huseme huyu kazoroteshwa,leo kabisa base nyinyine ya US kuwait.

Wewe unafikiri baada ya hii vita ,uchumi wa US utakuwa,vilevile, influence yao Middle East nayo itakuwa vilevile? Vip influence yao EU na NATO nayo? Maana EU na NATO imeshaanza kufanya vitu bila kumshirikisha US na wapo against nae,juzi tu waziri mkuu wa UK alifanya mkutano na mawaziri wa mambo ya nje zaidi ya 40,ili kutafuta suluhu kwa njia ya diplomasia.
 
Kumbuka lengo la Israel na Usa ni kuwa na Iran isiyo na nguvu yeyote kijeshi wala kiuchumi, sasa huo u powerful utatokea wapi?
Acha kupotosha watu kwenye vita hii lengo la Marekani na Israel ni kuiona Iran iliyo na silaha za Nuclear na isipokuwa na magaidi wa Hamas,Hezbollah na Houth!!
 
Huwezi bishana na mtu mwenye experience ever, hizo kauli walizitoa vipi wakati wao walikuwa wanapokea oder kipindi hiko? Hizi ni meza za mazungumzo na majadiliano zinaendeshwa na CNN,BBC,Al Jazeera nk kutoa mitizamo yao based on their past experience na kiongozi yoyote mwenye busara,kabla ya kufanya chochote kwenye nyanja yoyote lazima utafuta watu wenye experience kwenye nyanja hiyo,mfano vita basi wale maafisa wajuu (General) ndio wanaweza kukupa picha halisi.Sasa Trump kashatimua Mageneral zaidi ya kumi na mbili unazani kwenye hiyo vita kuna kushinda hapo? ,sababu mpaka sasa kuna msuguano wa ndani kwa ndani. Secretary of Defence, juzi kwenye kikao na Congress anauliza sababu zipi zilizofanya kuwatimu hao Majenerali hana majibu.

Halafu mbona wanahangaika kuomba mgogoro huu utatuliwe kidiplomasia, mara Oman,Turkey, Turkey na sasa US wamenda kumuomba Pakistan.Sasa wanahangaika nini kama nia yao kuisambaratisha Iran?

Wewe unafikiri baada ya hii vita ,uchumi wa US utakuwa,vilevile, influence yao Middle East nayo itakuwa vilevile? Vip influence yao EU na NATO nayo? Maana EU na NATO imeshaanza kufanya vitu bila kumshirikisha US na wapo against nae,juzi tu waziri mkuu wa UK alifanya mkutano na mawaziri wa mambo ya nje zaidi ya 40,ili kutafuta suluhu kwa njia ya diplomasia.
Misikitini mnadanganyana sana sana!!
 
Huwezi bishana na mtu mwenye experience ever, hizo kauli walizitoa vipi wakati wao walikuwa wanapokea oder kipindi hiko? Hizi ni meza za mazungumzo na majadiliano zinaendeshwa na CNN,BBC,Al Jazeera nk kutoa mitizamo yao based on their past experience na kiongozi yoyote mwenye busara,kabla ya kufanya chochote kwenye nyanza yoyote lazima utafuta watu wenye experience ya vita? Sasa Trump kashatimua Mageneral zaidi ya kumi na mbili unazani kwenye hiyo vita kuna kushinda hapo? ,sababu mpaka sasa kuna msuguano wa ndani kwa ndani. Secretary of Defence, juzi kwenye kikao na Congress anauliza sababu zipi zilizofanya kuwatimu hao Majenerali hana majibu.

Halafu mbona wanahangaika kuomba mgogoro huu utatuliwe kidiplomasia, mara Oman,Turkey, Turkey na sasa US wamenda kumuomba Pakistan.Sasa wanahangaika nini kama nia yao kuisambaratisha Iran?

Wewe unafikiri baada ya hii vita ,uchumi wa US utakuwa,vilevile, influence yao Middle East nayo itakuwa vilevile? Vip influence yao EU na NATO nayo? Maana EU na NATO imeshaanza kufanya vitu bila kumshirikisha US na wapo against nae,juzi tu waziri mkuu wa UK alifanya mkutano na mawaziri wa mambo ya nje zaidi ya 40,ili kutafuta suluhu kwa njia ya diplomasia.
Nakuambiaje, mavetarani kama hao hata Iraq walikuwa wanatoa maoni kama hayo, siyo kwamba hao waliongea sasa hivi ndio waliokuwa wanaongea kipindi hicho, bali kipindi hicho kulikuwa na mavetaran kama hao pia.

Waziri wa mambo nje wa Iran amesema leo kwamba kuna maswali mengi sana kuhusu tukio lililokuwa linaendelea la marekani kuokoa rubani wao wa ndege iliyotunguliwa. Anasema huenda tukio hilo lilikuwa cover ya kupora madini ya uraniamu ambayo yamesharutubishwa! Kwa kauli hiyo ya waziri wewe unapata picha gani?

Hii vita Iran itamshinda tu maana hata uchumi wenywe wa kuendeshea hiyo vita hana
 
Back
Top Bottom