Castle_Lite
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 3,552
- 6,973
Hakuna hata hoja moja uliyoitoa hapa,
Sasa sana umekimbilia kwenye comments za zamani za mtu uliyekua unajibizna nae kisha ukarudi na kumwabia kua eti umeangalia comments zake za nyuama na kugundua kua ana comment kwa kuipenda Iran,yani mwanaume mzima unaenda kuchunguza comments za nyuma za mwanaume mwenzako,umbea waachie wanawake,wewe utakua na tatizo kubwa ila bado hujajijua tu,
Yani mpaka karne hii unaona kunywa chai ni jambo kubwa sana,yani unamuuliz mtu usiyemjua mtandaoni eti umekunya chai! hilo swali linaonyesha wazi kabisa level za maisha unayo yaishi,
When you are loss,speed is useless,speed is irrelevant if you are not heading in the right direction,sasa wewe umepotea njia ila unaenda kwa speed ile ile,matokeo yake unageuka kua kituko bila kujijua.
😂😂😂😂 usipanick mdogo wangu.
Hii ni habar ya muda mfup uliopita
Iran says the intelligence chief of the Islamic Revolutionary Guard Corps, Majid Khademi, was killed in a US-Israeli strike on Monday morning - Israel later claims responsibility.