The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,470
- 104,103
Wewe kweli ni pimbi aisee,niliwahi kuiomba hiyo heshima toka kwako?😂😂😂😂😂 sio Nzega. Niko namtumbo kilangale ndan ndan huku. Kwa shemej angu
Nakushangaa ww unayekebeh mtu wakat wa kujadiliana nae.
Heshima niliyokuwa nimeweka juu yako imeshuka Hadi 0.
Nikajua ww ni moja ya watu makini.
Heshima yako ina faida gani kwangu au dharau yako ina hasara gani kwangu?
Kumbe unaishi humu JF kutafuta heshima kwa strangers! pole sana kijana bado una safari ndefu sana.